figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Huo ubunifu ni kiboko na ni wa kishetani.Hebu imagine mtu yupo busy anaitumia hiyo njia kutoa nishai kwa kilevi!Hideous!Aisee hii nayo mpya.
WaTz wabunifu sana
Imasikitisha sana. Sijajua wanafanyaje? Wanachambia au? Imenihuzunisha sana. Dah, Mungu asaidie sana kizazi hiki.Duniani kuna mambo.Sikuwahi kujua hilo.Swali;Hiyo pombe ikishafanya kazi yake mwilini,inatokea njia ipi tena?
Wanafanyaje mkuu?Huo ubunifu ni kiboko na ni wa kishetani.Hebu imagine mtu yupo busy anaitumia hiyo njia kutoa nishai kwa kilevi!Hideous!
Imenisikitisha na kuniumiza sana. AiseeeeeSina cha kusema.
Soma upya uzi utashangaa sana.Wanafanyaje mkuu?
Wanafanyaje bosi? Wanatumiaje pombe kwa njia ya haja kubwa? Ngoja niutafute ule uzi wa Walevi wanaweza kutujibu.Duh kila siku kuna ugunduzi mpya.
Ndio hawa hawa tunaopishana nao njiani kumbe wanafanya mambo ya hatari namna hii??
Nimeskma uzi na kusikiliza hiyo video ila sijapata jibu kiwa wanafanyaje au wamatumiaje.Soma upya uzi utashangaa sana.
Najaribu kuimagine hapa huyo mtu anakaa mkao gani ndio pombe iingie vema isimwagikeHuo ubunifu ni kiboko na ni wa kishetani.Hebu imagine mtu yupo busy anaitumia hiyo njia kutoa nishai kwa kilevi!Hideous!
Sijapata picha kama ni popo kanyea mbingu au anatumia pampu ya baiskeli kama mashine-rahisi.Najaribu kuimagine hapa huyo mtu anakaa mkao gani ndio pombe iingie vema isimwagike
Dunia Ina mambo,Bora niwe mshmbaSalaam Wakuu.
Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.
Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.
Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?
Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?
View attachment 3020491