Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

View attachment 3020491

Watu wakiambiwa pombe ni kazi ya mamlaka ya giza huwa hawaelewi...

Ona sasa vile walevi wanavyohangaika kutatuliwa marinda ili tu walewe...
 
Aisee hii nayo mpya.
WaTz wabunifu sana
Hii imeanzia kenya ndio tabia zao
Screenshot_20240605-124626_Facebook.jpg
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

View attachment 3020491
Jamani jamani ndo Nini hiyo?? Kweli vijana wenzangu wanateketea kimasikharaa
 
nazani wavuta ugolo ndo wamewambukiza mana ukivutaka ugoro kuta zote za mdomo zinahalibika inabidi utumie njia ya haja kubwa jamaa zangu walikua wakiniambia ila hii yapombe sijui wanatumia kichwa au mabega kusimama ndo wajimiminie uko kwenye kund ata sielewi njia gani hutumia
 
Back
Top Bottom