Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salaam Wakuu.
Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.
Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.
Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?
Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?
View attachment 3020491
Hii imeanzia kenya ndio tabia zaoAisee hii nayo mpya.
WaTz wabunifu sana
Jamani jamani ndo Nini hiyo?? Kweli vijana wenzangu wanateketea kimasikharaaSalaam Wakuu.
Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.
Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.
Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?
Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?
View attachment 3020491
Trafiki inabidi nao wabuni njia mpya ya kupima kilevi.Dunia Ina mambo,Bora niwe mshmba
hujaona tofauti? Ukinya yanaingia na kutoka au yanatoka tuu!Kama unataka kuwa hyo ni shida yako.usisingizie pombe. Mbona unakunya mavi makubwa. Na hautamani kuwa shoga?
Mbona una hamu ya kujua Sana?. Kulikoni?Duniani kuna mambo.Sikuwahi kujua hilo.Swali;Hiyo pombe ikishafanya kazi yake mwilini,inatokea njia ipi tena?
vyote vinaingia na kutoka kwenye tundu hilo hilo. Ushoga ni matamanio ya mtu mwenyewe. Tusichanganye mambo.hujaona tofauti? Ukinya yanaingia na kutoka au yanatoka tuu!