Dusty Foot
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 228
- 300
Hata Wasafi nayo ishakua TBC ndogo....hawana tena freedom of expresion..rasmi inatumika kuwatumia vijana waamini chama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kutupatia Jibu ni kwanini Jibu liwe kwamba Audience inapatikana Wasafi na siyo TBC FM, Kwa nini Wasafi aweze kuvutia hadhira na TBC ashindwe ili hali TBC anajiendesha Kwa Kodi zetu? Wakati Wasafi ni mojawapo ya Wale wanaolipia huduma za TB
OUnaweza kutupatia Jibu ni kwanini Jibu liwe kwamba Audience inapatikana Wasafi na siyo TBC FM, Kwa nini Wasafi aweze kuvutia hadhira na TBC ashindwe ili hali TBC anajiendesha Kwa Kodi zetu? Wakati Wasafi ni mojawapo ya Wale wanaolipia huduma za TBC
Hata wangemuacha tatizo ni mfumo paleWalimtoa TIDO ndiyo walaumiwe.