Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Lazima mkubali kuwa rose muhando hana nyimbo yeyote mbaya.....angeamua kuingiza nyimbo yeyote ingeshinda alafu watu wangelalamika kuwa ameshinda nafasi mbili au tatu!
Lazima tukubali kuwa rose muhando is the best gospel artist of all the time....wanaosema kuwa nyimbo zake zinaimbwa na walevi wanasahAu kuwa hata yesu walimsema kuwa alikuwa anakula na watoza ushuru na malaya....anasema alikuja iili watu wote wapate wokovu ...wote wawe na uzima tena wawe nao tele.....sasa nilidhani wanaompinga rose wangemshukuru kwa kufuata maandiko amefanya hadi walevi ,wapagani na wasiokuwa wakristo walisifu jina kuu kuliko yote ...jina la yesu!....si kazi rahisi ...msimpinge ..mpeni sifa zake stahili na yeye anasema kuwa sifa na utukufu ziende kwa bwana! Mnataka nini zaidi!
Hongera rose muhando!!!!!!!
ANGALIA HAPA
http://www.globalpublisherstz.com/2009/05/07/shusho_mhando_nani_zaidi.html