Hata mimi nimeielewa sana pamoja na ya TOT hao wengine hamna kitu wanaruka makidamakida tuMpaka sasa naona nyimbo zilizotolewa na maomboleza ni nyingi ila hii ya Rosa Ree Kigodo inilize walahi, ya Wasafi sijaelewa sana japo imesheheni wasaniii kibao
Unaionaje Mtu wangu, hii hapa chini:
Ametuheshimu[emoji23][emoji23][emoji23]Roza Lii hajaweka mazafanta kwenye tungo?
Unao ushahidi kama Yesu kafa ?Alikufa Yesu sembuse hicho kidude
Lete ushahidi mbafuHii nchi mpaka wanafki muishe ndiyo itaendelea.
Yaani kwako watu kupigwa risasi,kutekwa,kupotezwa,kuporwa mali zao ni mapungufu madogo kwako?
Jiwe siyo kiongozi alikuwa kichaa...afie huko.
Mbafu babaako.Lete ushahidi mbafu