Wimbo gani ukiusikia unakukumbusha magumu uliyoyapitia?

Wimbo gani ukiusikia unakukumbusha magumu uliyoyapitia?

Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.

Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.

Mungu wetu ni mwema sana.
Ile mbwa iliniroga anyway wimbo wa diamond ukimuona
 
Nacheka huku nikiwaza ni nyimbo gani hizo.....
Na ni msanii gani huyo...
😂😂😂😂
Acha tu ndugu yangu. Ni nyimbo mchanganyiko ambazo zilikuwa zinanikumbusha jambo flani hivi, .zipo kwenye playlist yangu.
Sasa hivi siwezi tena kusikiliza mziki wowote.
Kiufupi naumwa mwili na roho na sioni matarajio ya kupona.
 
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.

Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.

Mungu wetu ni mwema sana.
Machozi ya nini jamaa ulikuwaunakula mlo mmoja nini kipindi hicho
 
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.

Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.

Mungu wetu ni mwema sana.
Machozi ya nini jamaa ulikuwaunakula mlo mmoja nini kipindi
 
Back
Top Bottom