Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.