Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ni bora kua single..Mapenz ya mkataba mpaka kufa yamekwishaaaa
Ilaa hapana siwezi upwiru unakaba hapaaaa kwa koo 😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni bora kua single..Mapenz ya mkataba mpaka kufa yamekwishaaaa
Mungu n pendo apenda watuuuuu Mungu n pendo anipendaaaaaaNi bora kua single..
Ilaa hapana siwezi upwiru unakaba hapaaaa kwa koo 😁😁😁
Ngoja niikumbuke jina ni ya kizungu
Muache aende...!😂Acha tu ndugu yangu. Ni nyimbo mchanganyiko ambazo zilikuwa zinanikumbusha jambo flani hivi, .zipo kwenye playlist yangu.
Sasa hivi siwezi tena kusikiliza mziki wowote.
Kiufupi naumwa mwili na roho na sioni matarajio ya kupona.
Nyimbo za Jud Bucher kama sijakosea jina lake, rege flani hivi, miaka ya 2002, dah acha kabisaMimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.
Safi sanaNakumbuka nipo Form One wimbo maarufu wa "Fanta Wangu Uliamua" kama sikosei uliimbwa na Orchestra Bima Lee, ukiwa bado ni maarufu, Mzee wangu alipata uhamisho wa kikazi.
Uhamisho huu ulinipelekea kuhamishiwa "boarding" kwani hapo awali nilikuwa bado nasoma "day school" nyakati hizo vijana wa Kidato cha Kwanza tulipitia changamoto nyingi sana hasa kwa vijana wa bweni.
Tuliitwa kila jina baya, njuka, salamander, goromondo, n.k. Nakumbuka nilihamia bweni mwezi Julai, lakini nakumbuka kupitia mimi upuuzi huu wote ulikomeshwa na kufikia ukomo wake. Nilifanikiwa kuwatambua baadhi ya watesi wangu hali iliyopelekea wao kufukuzwa shule moja kwa moja, na hii ikawa ni mwanzo na mwisho kabisa wa kuendekeda ujinga wa kuwahangaisha kijinga vijana wadogo wa Kidato cha Kwanza
Am trying dear....Muache aende...!😂
Nipe - goodluck gosbertMimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.
acha kabisa aiseeMachozi ya nini jamaa ulikuwaunakula mlo mmoja nini kipindi hicho
Unahitaji uponyaji Demi? I am here for youAcha tu ndugu yangu. Ni nyimbo mchanganyiko ambazo zilikuwa zinanikumbusha jambo flani hivi, .zipo kwenye playlist yangu.
Sasa hivi siwezi tena kusikiliza mziki wowote.
Kiufupi naumwa mwili na roho na sioni matarajio ya kupona.