Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Ile mbwa iliniroga anyway wimbo wa diamond ukimuonaMimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.
Kila siku nateswa mimi....Bob junior.
Oyoyo oyoyo
Oyoyo oyoyo oohΓ2
Mapenzi Kwangu ni nini?...π₯Ίπ
Nacheka huku nikiwaza ni nyimbo gani hizo.....Poor Brain unanicheka
Acha tu ndugu yangu. Ni nyimbo mchanganyiko ambazo zilikuwa zinanikumbusha jambo flani hivi, .zipo kwenye playlist yangu.Nacheka huku nikiwaza ni nyimbo gani hizo.....
Na ni msanii gani huyo...
ππππ
Machozi ya nini jamaa ulikuwaunakula mlo mmoja nini kipindi hichoMimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.
Machozi ya nini jamaa ulikuwaunakula mlo mmoja nini kipindiMimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu.
Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka mbaaali sana napata hisia sana ya hata kutoa machozi.
Mungu wetu ni mwema sana.