Wimbo gani unakimbiza kitaani kati ya hizi nymbo mbili?

Wimbo gani unakimbiza kitaani kati ya hizi nymbo mbili?

hata ukiangalia mrejesho kutoka kwa jamii utaona nyimbo ya utanipenda ndo imekamata acha tanzania tu ni east africa na africa kwa ujumla soma coments youtube, blog za kenya , uganda, rwanda, nigeria, south africa na ghana utaelewa ninachosoma, nyimbo ya nagharamia imetoboa na kuishia mseto east africa ya citizen
 
# Ya utanipenda sasahivi ina zaidi 8k wakati nagharamia hata 500 haijafikisha kwenye instagram
 
nagharamia ndo nn mbona cjawah isikia? chibu dangote baba T Roho ya zari,mtoto wa mama Naseeb,rais wa Tandale nyoosha baba...
 
Kuna wimbo nimeusikia ukipigwa Mara kwa Mara Leo kule laliakoo, unanza hivi: Sasa visenti sina narudi Tandale, huu ndiyo utanipenda au? Ukweli huu wimbo unapigwa Sana.
 
Nagharamia inakimbiza

Je utanipenda ni nzuri ila imefunikwa na nana
 
Shilole Clasic

 
Last edited by a moderator:

[COLOR=#FFFFFF !important]4:27
https://www.youtube.com/watch?v=LSk_M7d_OWM
[h=3]Diamond Platnumz - Utanipenda (Lyric with English Translation Video)[/h]by Diamond Platnumz

  • 985,422 views
  • 1 week ago


[/COLOR]









[h=1]Alikiba & Christian Bella - Nagharamia (Official Music Video)[/h]

Alikiba
Subscribe
24,832

Add to Share More

259,124




4,710 518


Published on Dec 19, 2015
Brand new Video by AliKiba & Christian Bella - Nagharamia | Download the Audio herehttps://mkito.com/song/nagharamia/17256




 
binafsi shabiki wa kiba ila hii Utanipenda ni habari nyingine
 
Mm naona ikiachana na ushabiki nagharamia inakimbiza sana kitaani yaani ndo habari ya mjini kwa sasa coz kila mtu a nagharamia ama nn?

Haaaaaaaa


Buwaaaaaaaaa


Yaani ukafikiri umejibu na ile ID yako ingine kumbe ukachemshaaaaaaaaaaa


Eeeeeeeehhhhhhhhh
 
Usisahau kuwahi Dar live kesho maana ukichelewa utakosa nafasi.
 
033a1738d89a25689995e65f274a7a5b.jpg

Hii ndo yakufunga mwaka mkuu

upo mwingine ule aliopost kashika mtutu, huo kashirikishwa ni wa aka..
 
Back
Top Bottom