Wimbo gani unakimbiza kitaani kati ya hizi nymbo mbili?

Wimbo gani unakimbiza kitaani kati ya hizi nymbo mbili?

Hivyo ndo vitu vinavyomduwaza Ally jamani... as utaanzaje kulinganisha nyimbo ambayo ilikuja na mafuriko ambayo kidogo yamsombe Dk mwaka ndani ya siku mbili tu...

Hata ally kiba anajua hilo...hyo nyimbo ya nagharamia wanaifahamu wachache sana tena wanaofatilia sana muziki ila Utanipenda lazima ujue tu hata kama hauskilizagi sana muziki
 
NAgharamia huku kitaa ndo habar ya mjn kwenye ma boda boda ndo usiseme
 
Hivyo ndo vitu vinavyomduwaza Ally jamani... as utaanzaje kulinganisha nyimbo ambayo ilikuja na mafuriko ambayo kidogo yamsombe Dk mwaka ndani ya siku mbili tu...

Hata ally kiba anajua hilo...hyo nyimbo ya nagharamia wanaifahamu wachache sana tena wanaofatilia sana muziki ila Utanipenda lazima ujue tu hata kama hauskilizagi sana muziki

ila kweli...c mchezo mpk wizara imejua kuna dokta mwaka kupitia #je utanipenda,ikabidi ifanye ziara ya kushtukiza!hii inaonesha wazi kuwa cku chache kbs baada ya utanipenda kuachiwa na kuwa gumzo kila kona,dr mwaka alipata kick ya ajabu sana kupitia hii hit mpk wizara ikaona hapana aise...

ngoma imeanza kuwa noma kabla hata ya kuachiwa rasmi vituoni,uku uswahili kwetu madogo woote kweny cmu zao playlist ni wimbo mmoja tu nw je utanipenda,na kuikariri washaikariri yote,nagharamia hata hawaijui haswaa,ukiwaambia wanabaki kushangaa tu,coz wanahc unawaletea mambo ya ajabu.
 
Fungueni Websites, na mablogz,malinkz kibao tufanye sensa,Ni song lipi limepokelewa na watu wengi ndani na nje ya nchi.Ubishi uishe.
 
Ukiacha sauti za waimbaji, Lyrics za nagharamia ni mbovu kabisa .Mistari ipo simple sana hata asiyejua mziki anaweza kuandika.
 
Hiyo na gharamia kweli kabisa, mimi huku uswazi kwenye mizunguko yangu, sikuwahi kuisikia ikichezwa kwevye vijiwe na kubani miziki au hata nyumbani kwa mtu. Hata mimi sijawahi kuisikia wala kuiona video yake. Mimi si mfuatiliaji wa muziki hasa wa kizazi kipya lakini ukiona wimbo mpaka mimi nimeusikia na kuuona jua huo wimbo UTANIPENDAGA, unafanya vizuri sana huko kitaani.
 
Muwe mnaweka basi hata tuvideo tuthaminishe........sasa hiyo ya Ally Kiba iko wapi.........?......
 
# Ya utanipenda sasahivi ina zaidi 8k wakati nagharamia hata 500 haijafikisha kwenye instagram
Video ipi ilianza kutoka??
attachment.php


attachment.php


I hope unafahamu what happens to average views kadri siku zinavyoenda!!!!
 

Attachments

  • Kiba.jpg
    Kiba.jpg
    25.8 KB · Views: 544
  • Chibu3.jpg
    Chibu3.jpg
    26.8 KB · Views: 536
attachment.php


attachment.php


I hope unafahamu what happens to average views kadri siku zinavyoenda!!!!

Inabidi tusikilize na ss baada ya siku izo nagharamia itakuwa na view wngapi.....tusiponde now
 
Mm naona ikiachana na ushabiki nagharamia inakimbiza sana kitaani yaani ndo habari ya mjini kwa sasa coz kila mtu a nagharamia ama nn?

Nilkua siujuhi huo mwimbo ndo nmeuangalia leo youtube..mwimbo ata hauna radha..bora aiyola.. kiba aimbe kama ile ya zaman ya kina "mackmugah"
 
Tatzo ushabiki but nagharamia naona ndo inakimbiza sana kitaani au ww hutokagi eeeeh

Wewe ukisema Nagharamia ndio inafanya vizuri SII USHABIKI lakini mwingine akisema utanipenda ndio inafanya vizuri ni USHABIKI??? Hahahahahahahahaaaaaaaaa!!!
 
Ghafla visent sina nmerudi namanyeree..ha ha ha wimbo mkali mno
 
Back
Top Bottom