Wimbo huu nautafuta, uliimbwa siku ya kusimikwa Askofu Mkuu Jimbo Katoliki Mbeya April 2019

Wimbo huu nautafuta, uliimbwa siku ya kusimikwa Askofu Mkuu Jimbo Katoliki Mbeya April 2019

Mkuu mi nautafuta wimbo wa KKKT kama sikosei Kimara unaitwa "Nenda fanya kazi ile ya Bwana usiuhesabu muda......" huu wimbo naupenda sana.

Mwenye namna ya kuupata naomba anisaidie wakuu.
Huu hapa:


 
Huu hapa:


We jamaa sijui hata nikushurukuru kwa namna gani! Baada ya miaka takribani mitatu hatimae umefanikiwa kuweka huu wimbo. Special thanks kwako mkuu. Ubarikiwe sana, kama unaweza kukumbuka kuna kipindi kilikuwa kinarushwa na redio ya KKKT hapo dar sikumbuki vizuri jina sijui ni upendo FM.

Kwenye redio hii kila jumamosi kulikua na mafundisho ya Mwl Mwakasege, hii ilikuwa 2006. Huu wimbo uliopost ndio ulikuwa unapigwa kuashiria mwanzo wa kipindi. Aisee nilikuwa naupenda mno yote tisa kumi ni mafundisho ya Mwakasege itoshe kusema nilibarikiwa na huu wimbo plus mafundisho.
 
We jamaa sijui hata nikushurukuru kwa namna gani! Baada ya miaka takribani mitatu hatimae umefanikiwa kuweka huu wimbo. Special thanks kwako mkuu. Ubarikiwe sana, kama unaweza kukumbuka kuna kipindi kilikuwa kinarushwa na redio ya KKKT hapo dar sikumbuki vizuri jina sijui ni upendo FM.

Kwenye redio hii kila jumamosi kulikua na mafundisho ya Mwl Mwakasege, hii ilikuwa 2006. Huu wimbo uliopost ndio ulikuwa unapigwa kuashiria mwanzo wa kipindi. Aisee nilikuwa naupenda mno yote tisa kumi ni mafundisho ya Mwakasege itoshe kusema nilibarikiwa na huu wimbo plus mafundisho.
UBARIKIWE ZAIDI. HAPO kabla, huu wimbo haukuwepo YouTube, NADHANI umewekwa hivi KARIBUNI tu. Niliikumbuka hii post leo nikaona ombi lako nikakumbuka. Nilipojaribu kuu-search nikaupata. UBARIKIWE TENA
 
UBARIKIWE ZAIDI. HAPO kabla, huu wimbo haukuwepo YouTube, NADHANI umewekwa hivi KARIBUNI tu. Niliikumbuka hii post leo nikaona ombi lako nikakumbuka. Nilipojaribu kuu-search nikaupata. UBARIKIWE TENA
Tubarikiwe sote, ni kweli huu wimbo haukuepo maana nilishajaribu kuutafuta sikufanikiwa. Nilihisi labda nakosea jina la wimbo ndio maana siupati, nilipoona umeuweka nilifarijika sana. Tuko pamoja sana mkuu [emoji120]
 
Back
Top Bottom