Kwa heshma yako kaka.
AM LETTING IT GO... Am off
hehehe!Hebu muulize mjukuu ilikuwaje jana alitutelekeza mazima?
Afu Askofu akiamka umuulize kama huu wimbo una hadhi ya kuimbwa kanisani.
Kama unaruhusiwa kanisani, umpigiea Kaizer aanze mazoezi ya kupiga organ.
Teamo akitoka Lupango umwambie namtegemea kwenye ku-conduct.
Babu yenu niko pembeni natafakari kwa kina. Mtafute Acid, mwambie anipigie simu eti. OK?
Babu ulinifunza kuheshimu wakubwa zangu na wadogo zangu sasa KAKA MKUBWA Kaizer amesema nami ninaheshimu!!Who permitted you to Go off? Am here and I need you here....ON!
Nendaaaaaaa! Nendaaaaaaaa! Nenda, hata kama zamani nilipenda! Yanini malumbano, yanini manenoooooo!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
hehehe!
ujumbe umemfikia kwakweli:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
sasa mimi sielewi hii MALUMBANO ni ipi hasa?
ni ile cd ya mapinga kwa meri-munisi?
ni ile cd ya redi-epo?
ni ile cd ya pale feawei?
ni ile cd ya pale reina?
ni ipi hasa wajameni?
aafu we mj1........?hebu tuma salamyu kwa watu watatu uwapendao:biggrin1::biggrin1:
Habariii yako banaaaa
Mjukuu umenimaliza! Umeua mazima!
Anyway, Thanks!
hahahahahah!pamoja ndani ya mmuHahahah aksante ndugu mtangazaji, salamu zangu za kwanza zimuendee kaka yangu Teamo akiwa pale keko, za pili kwako mtangazaji na za mwisho zimwendee Geoff popote pale alipo.
Ningeomba uzisindikize na wimbo wa Mayaula Mayoni wa Mbongwe!!
Hahahah aksante ndugu mtangazaji, salamu zangu za kwanza zimuendee kaka yangu Teamo akiwa pale keko, za pili kwako mtangazaji na za mwisho zimwendee Geoff popote pale alipo.
Ningeomba uzisindikize na wimbo wa Mayaula Mayoni wa Mbongwe!!
:dance::A S-rose::dance: happpy monday 2u st roy!!!!!Is it only a monday??:argue:
hehehehe!Hivi huko KEKO aliko Teamo wanaruhusiwa kuwa na redio?:smokin::A S confused::A S confused:
hahahahahah!pamoja ndani ya mmu
SINA RAHA SINA RAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
NAUMIA NA MAWAZO MIEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
ahsante mkoloni kwa kunibana hadi nyumbani ninakoishi.....
HABAAARR AKO MKOLONI UNAEKUJA HADI NINAKOFANYIA INFIDELITY BANAAAAAAAAAAAAA
HABBAARR AKO BANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
:dance::A S-rose::dance: happpy monday 2u st roy!!!!!
si wazito kufanaya maamuzi its just thy tryng to make rational decision..
wanafikiria we unawatoto nae sa utoke uende wap na ukicheki huna uwezo labda wa kulea watoto pk ako +sapot ya wazaz huna
unachek muda uliopoteza na ukiangalia mbelen unawaza utakutana na vmbwanga km ivo
au wengne wamelishwa kasa that wanaume wooooooote ndugu moja tabia the same same......kuna picha moja ivi sjui aliiigiza julia robert ahh yan theme ni wanawake inabidi muwavumilie wanaume ata akikunyaga ni sign anakupenda.......ohh yan uruma
bt si wanawake wooooote wanaweza kuvumilia ujinga u its just like men papo kwa papo anachosema ndo anamanisha..yan kweli umfumanie km mara kadhaa ivi+dharau+madudu mengne stl utatumia formula ya 22/7 ya tafuta mzunguko wa mapenzi haya times muda gawanya kwa watoto mliowazaa..APANA.kwanza yatakuwa si mapenzi ni utumwa.matatizo au magonjwa poa yanavumilika lakin kushndwa kutoa maamuzi kwenye mateso km hayo juu ni uvivu wa kufikiri au stuation imekubana lakin moyon unasema yan ningekuwa na uwezo nisingeish na janaume ili....
hehehehe!
sasa tatizo ni kwamba mtuhumiwa ILIKUWA LAZIMA ASULUBISHWE!kama jizaas
aah wapi, niulize mimi mkuu... kuna mbu balaaHivi huko KEKO aliko Teamo wanaruhusiwa kuwa na redio?:smokin::A S confused::A S confused:
Ni kweli usemayo rose wanawake wengi situation zinatubana, ukiangalia watoto halafu huna uwezo wa kuwalea peke yako ndio nguvu zinakuisha kabisa. Lakini kama mtu una uwezo unaweza ukaachia ngazi yakizidi, ila kuna mengine inabidi uvumilie tu kwani ukweli ni kwamba wenzetu wameumbwa hawawezi kuwa na mwanamke mmoja hilo wanawake inabidi tukubaliane nalo (mtanisamehe) ila na nyinyi kina baba hata kama ndio nature yenu msizidishe
hehehehe!
sasa tatizo ni kwamba mtuhumiwa ILIKUWA LAZIMA ASULUBISHWE!kama jizaas
aah wapi, niulize mimi mkuu... kuna mbu balaa