Wimbo huu............!!

Kwa heshma yako kaka.

AM LETTING IT GO... Am off

Who permitted you to Go off? Am here and I need you here....ON!

Nendaaaaaaa! Nendaaaaaaaa! Nenda, hata kama zamani nilipenda! Yanini malumbano, yanini manenoooooo!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
hehehe!
ujumbe umemfikia kwakweli:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::A S thumbs_up::A S thumbs_up:

sasa mimi sielewi hii MALUMBANO ni ipi hasa?
ni ile cd ya mapinga kwa meri-munisi?
ni ile cd ya redi-epo?
ni ile cd ya pale feawei?
ni ile cd ya pale reina?

ni ipi hasa wajameni?

aafu we mj1........?hebu tuma salamyu kwa watu watatu uwapendao:biggrin1::biggrin1:
 
Who permitted you to Go off? Am here and I need you here....ON!

Nendaaaaaaa! Nendaaaaaaaa! Nenda, hata kama zamani nilipenda! Yanini malumbano, yanini manenoooooo!:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
Babu ulinifunza kuheshimu wakubwa zangu na wadogo zangu sasa KAKA MKUBWA Kaizer amesema nami ninaheshimu!!
 
Kuna Ule mwingine unaitwa ''Chunga Acha Tamaa''.........mzuri sana mwenye mashairi yake atutumie
 

Hahahah aksante ndugu mtangazaji, salamu zangu za kwanza zimuendee kaka yangu Teamo akiwa pale keko, za pili kwako mtangazaji na za mwisho zimwendee Geoff popote pale alipo.

Ningeomba uzisindikize na wimbo wa Mayaula Mayoni wa Mbongwe!!
 
Hahahah aksante ndugu mtangazaji, salamu zangu za kwanza zimuendee kaka yangu Teamo akiwa pale keko, za pili kwako mtangazaji na za mwisho zimwendee Geoff popote pale alipo.

Ningeomba uzisindikize na wimbo wa Mayaula Mayoni wa Mbongwe!!
hahahahahah!pamoja ndani ya mmu
SINA RAHA SINA RAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
NAUMIA NA MAWAZO MIEEEEEEEEEEEEEEEEEEE


ahsante mkoloni kwa kunibana hadi nyumbani ninakoishi.....
HABAAARR AKO MKOLONI UNAEKUJA HADI NINAKOFANYIA INFIDELITY BANAAAAAAAAAAAAA
HABBAARR AKO BANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Hahahah aksante ndugu mtangazaji, salamu zangu za kwanza zimuendee kaka yangu Teamo akiwa pale keko, za pili kwako mtangazaji na za mwisho zimwendee Geoff popote pale alipo.

Ningeomba uzisindikize na wimbo wa Mayaula Mayoni wa Mbongwe!!


Hivi huko KEKO aliko Teamo wanaruhusiwa kuwa na redio?:smokin::A S confused::A S confused:
 

Mkoloni anataka kuingia chamani kwahiyo alikuwa anaaangalia procedures ila mkoloni yule kiboko kweli FEA WEI weekend hii lazima nifuate BATA na KANGA.

Angalizo: BATA na KANGA sio tusi:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 

Ni kweli usemayo rose wanawake wengi situation zinatubana, ukiangalia watoto halafu huna uwezo wa kuwalea peke yako ndio nguvu zinakuisha kabisa. Lakini kama mtu una uwezo unaweza ukaachia ngazi yakizidi, ila kuna mengine inabidi uvumilie tu kwani ukweli ni kwamba wenzetu wameumbwa hawawezi kuwa na mwanamke mmoja hilo wanawake inabidi tukubaliane nalo (mtanisamehe) ila na nyinyi kina baba hata kama ndio nature yenu msizidishe
 

Naona ukweli umeshakuweka huru apo maty....good....sasa umebakiza jambo moja tu.....:A S thumbs_up:
 
hehehehe!
sasa tatizo ni kwamba mtuhumiwa ILIKUWA LAZIMA ASULUBISHWE!kama jizaas


Inampasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.....anyways damu yako i juu ya mikono yetu...hadi wajukuu,,,,,lakini kwa kuwekwa kwako keko sisi TUMEPONA>.....:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…