Wimbo huu............!!

Wimbo huu............!!

Ni kweli usemayo rose wanawake wengi situation zinatubana, ukiangalia watoto halafu huna uwezo wa kuwalea peke yako ndio nguvu zinakuisha kabisa. Lakini kama mtu una uwezo unaweza ukaachia ngazi yakizidi, ila kuna mengine inabidi uvumilie tu kwani ukweli ni kwamba wenzetu wameumbwa hawawezi kuwa na mwanamke mmoja hilo wanawake inabidi tukubaliane nalo (mtanisamehe) ila na nyinyi kina baba hata kama ndio nature yenu msizidishe
MATY mama naomba nkubaliane na wewe yote bt apana kuna wanaume wazuri wewe acha yan ni moja kwa moja yan atok wala hana kaz za nje ni hawa wadudu watu ndo wanajifnya kutoa excuze kwamba ni necha ..necha necha gan?ahh apo ni temba tu akuna necha wala nini....ahh u ni ushetan tu kuna wengi tu waaminifu mama yangu mpk waona raha yan dahh acha tu
usikubali kuingzwa kwenye mkumbo uo wa kutoka nje NI NECHA KWA WANAUME...kwa justfctn ip?ahh apana.
mbona we utok?assume aujaolewa bado na hauna mtoto wala nin lakn jamaa anapga nje daily apo napo inakaanje?kwan wewe HAUJAWAI KUMPENDA AU KUMTAMAN KIJANA MWNGNE UKO NJE?mbona haukumkubalia?y?Y yeye ashndwe kujimudu na game lilivyo ni mademu wangekuwa wanaongoza kwa kaz za nje cz wao ndo wanatongozwa na vishawish viiiiiiiiiiiiing wanapata iweje ajimudu kusema noooooo na wewe njemba daily mitaani kutafuta c.h.u.p mpya?kwa gharama zote na muda wote?
ushedwani tu..ahh yan nimekasirika maty ngoja tu nkanywe chai ebu njooo uku tule mwaya
 
Inampasa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu.....anyways damu yako i juu ya mikono yetu...hadi wajukuu,,,,,lakini kwa kuwekwa kwako keko sisi TUMEPONA>.....:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Kuthibitisha hilo jana amechinjwa BATA kwa ajili ya kumbukumbu ya king FISH tuliambiwa wameisha
 
:A S 41::bathbaby::ranger::ranger:
Orait..katibu hapa uko kifamilia ama kikazi? kama kikazi usisahau kutuletea minutes

Cheaman kumbe upo?? I can always separate business from pleasure...:shut-mouth:
 
Cheaman kumbe upo?? I can always separate business from pleasure...:shut-mouth:

Naamini haya niyasomayo hapa yapo kwenye kumbukumbu zetu!!!:A S 103::A S 103::A S 103:
 
Mwenyekiti na katibu.... Naomba kuwauliza..

Hivi inakuwaje Mfalme anapokuwa hayupo? Mweka hazina haimpasi kukaimu nafasi yake?:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Mwenyekiti na katibu.... Naomba kuwauliza..

Hivi inakuwaje Mfalme anapokuwa hayupo? Mweka hazina haimpasi kukaimu nafasi yake?:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
hehehe!
you have it all!.....
KING ACCAUNTANT
 
Mwenyekiti na katibu.... Naomba kuwauliza..

Hivi inakuwaje Mfalme anapokuwa hayupo? Mweka hazina haimpasi kukaimu nafasi yake?:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Ushawahi kusikia wapi acting king??? labda aage hii dunia, aende kwenye sayari nyingine.....
 
Mwenyekiti na katibu.... Naomba kuwauliza..

Hivi inakuwaje Mfalme anapokuwa hayupo? Mweka hazina haimpasi kukaimu nafasi yake?:biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Tatizo ni kwamba YUPO sema kabadili tu mavazi na in fact yuko kwenye special mission

Hakuna kukaim hapo...
 
Back
Top Bottom