Wimbo huu............!!


:ranger::ranger::ranger:
 

Mhhhhhh!!!!!!!!!!!!
 
Mwanajamii wapo pia wanaume amabao ni wazito kufikia mmauzi ya 20% kwenye wimbo wake.......................kama mimi hapa!:biggrin1:
 
Maty watatuua hawa akiwa nao saba watano wanatumia kinga mbili wanaaminiana baada ya kukaa katika mahusiano kwa muda wa mwezi au miwili mungu saidia

Hapo ndio umenena mungu asaidie mwanamke unatakiwa upige goti na umuombee mumeo asitoke nje na hilo linawezekana kabisa ukiomba kwa kumaanisha na ukiwa na imani kwamba itakuwa muombe mungu mume wako awe unavyotaka wewe. Hii ndio njia inayoweza kusaidia lakini tukisema tuendelee kukemea tu kwa maneno hawasikii na hawaelewi na inakuwa mwanzo wa migogoro isiyoisha. so unachotakiwa ni kuomba tu mungu huku ukimuacha aendelee na mizunguko yake mungu akisharidhika na maombi yako atatulia.
 
bado halafu sija-baniwa muda mrefu mpaka nasikia hamu nitupwe Segerea sijui nimrushie tusi nani anafunge habu nishauri kaka
Muite Bigirita kitimoto uone....au muite Asprin panado...
 
Muite Bigirita kitimoto uone....au muite Asprin panado...

Abomination! Naona unataka ban mheshimiwa SG.

BTW nshachukua mchango wa mjukuu, hebu mworodheshe hapo kwenye daftari la kudumu.
 
Aisee hii appeal ya cheaman imeniweka bize sana......nimerudi sasa....finest umeamkaje?
 
Aisee hii appeal ya cheaman imeniweka bize sana......nimerudi sasa....finest umeamkaje?

Aisee niko poa sana ila nahitaji kubembelezwa leo siku nzima sasa sijui wadada wa JF watanisaidia kwenye hilo
 
Askofu unataka BAN halafu jana kwanini kwenye kitabu cha wageni pale MTAKAYOTE GUEST HOUSE niliona jina lako kwani guest huwa panafanyika maombi pia

Umechanganya Finest.....ni CHAPCHAP Guest house sio mtaka yote....si pale ulipoenda kuhakikisha kama nimepewa risiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…