Wimbo huu............!!

Wimbo huu............!!

Leo kuna mtu hajaniamkia humu ndani. Akija tafadhali mwambieni Babu amekasirika sana. Anaenda kumwadhibu bibi badala yake:grouphug::grouphug::grouphug:
 
Leo kuna mtu hajaniamkia humu ndani. Akija tafadhali mwambieni Babu amekasirika sana. Anaenda kumwadhibu bibi badala yake:grouphug::grouphug::grouphug:

Babu usijali yuko kwangu amekuja kunitembelea
 
Leo kuna mtu hajaniamkia humu ndani. Akija tafadhali mwambieni Babu amekasirika sana. Anaenda kumwadhibu bibi badala yake:grouphug::grouphug::grouphug:
Babu....................................Shikamoo.
 
quote_icon.png
Originally Posted by Asprin
That's an ACT CALLING....You have been warned!

Hahahah........thats WARN CALLING........You have been notified!

MNATAKA BAN eheeee
 
Marahabaaa kajukuu....Sasa waweza kumruhusu babuyo aondoke kwa amani?:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:

Nendaaaaaaaa..............Nendaaaaaaaaaaaaaa........hata kama zamani nilipendaaaa!

This is FAREWELL CALLING...
 
Sitaki Usawa Kaka Jambazi ningependa kuelewa tu kwa sababu gani sie tuweze kuvumilia wakati kina kaka hawawezi, na mbaya zaidi hata jamii inawaruhusu kutokuweza kuvumilia!!!

Kwa nini asivumilie tabia za mpenzi wake badala ya kujiweka pembeni??

...yataka moyo kustahmili wasaidizi.
Wanaostahmili wengi wao hawana jinsi labda 'sababu ya kuzidiwa kipato' na katika na hayo,
otherwise mnh
...acha tu.
 
Nendaaaaaaaa..............Nendaaaaaaaaaaaaaa........hata kama zamani nilipendaaaa!

This is FAREWELL CALLING...


Hahahaha! And bellow is ze Senksi calling



The Following User Says Thank You to generation-Y For This Useful Post:

Asprin (Today)
 
...yataka moyo kustahmili wasaidizi.
Wanaostahmili wengi wao hawana jinsi labda 'sababu ya kuzidiwa kipato' na katika na hayo,
otherwise mnh
...acha tu.
Hapa Umenena kaka yangu yaani ndio maana ninasema mahusiano................. yaacheni tu yaitwege mahusiano!!
 
Babu na vitukuu vyako The Finest, Generation Y na nani sijui mnachakachua........... Mod Hapendi
 
Mwanajamii pole sana lakini wimbo huo upo sawa kabisa, kwanza zinaa haitokei mpaka mwanamke akubali!!!! Ina maana kama wanawake wakitokea kuwa ngangari na NO zao basi wanaume wangepata taabu sana isipokuwa kwa wale waliopewa YES. Uthibitisho wa hili Quran inataja aya yoyote inayoanza na uzinifu inaanza kwa kusema na MWANAMKE MZINIFU kisha inamalizia MWANAUME MZINIFU na inapotaja kuhusu wizi inaanza na MWANAUME MWIZI kisha inamalizia na MWANAMKE MWIZI. Maana yake haipatikaniki zinaa kwa ridhaa bila mwanamke kukubali na ndiyo maana 20% akasema anajiweka pembeni aepushe malumbano akijua wazi kabisa kuwa jambo hilo la njemba kuwa pembeni mwa kitanda chake hakijatokea kwa bahati mbaya bali kwa makusudi mazima kabisa.
Nikukumbushe mbali kidogo mwanajamii enzi za nabii Yusuph na mke wa Farao pindi mke wa Farao alipomtaka Yusuph, nabii Yusuph alikataa na akaomba ni kheri afungwe kuliko vitimbi vile na Mungu akamjalia akafungwa kweli. Hoja ya msingi hii, kwa kuwa wanawake hawana tamaduni ya kutongoza hivyo basi akitingozwa na kukubali hapo ndipo tendo la ndoa/zinaa linaweza kupatikana.
Hivyo mwanajamii hii ni kama asili tuliyoirithi maana hata ukiangalia kiukweli kati ya mijizi ya kiume na kike ni wazi ya kiume ndiyo imejaa ndiyo maana MUNGU akaonyesha kila kitu kwa asili yake.
Hukusu maamuzi ni sawa kabisa hicho ni kitu ambacho kipo kiasili zaidi kama maumbile yetu jinsi yalivyo, wanawake wanaweza kukosa ustahimilivu katika baadhi ya mambo lakini wanaume wakawa tofauti kabisa mfano kwenye misiba utakuta wanawake wengi ndiyo wanaolia sana kuliko wanaume n.k Hivyo hivyo utakuta wanaume hawana uvumilivu kabisa katika masuala ya mapenzi linapotokea suala kama hilo ulilosema/jengea hoja. Wanaume wamekuwa na jazba na maamuzi magumu/mazito katika masuala mazima ya mapenzi.
 
Back
Top Bottom