Wimbo huu............!!

kuna mtu alinitumia msg maneno haya,sikujua kama ni nyimbo kumbe,big up 20%,najua mwanangu hamjui baba,toka niondoke uvinza ni miezi 7,mtunze wewe usije kuwa kahaba,ukimbemenda mimi utanibeba money money money imesababisha nikutoroke,na itanirudishe tuwe wote.
 
 
Last edited by a moderator:
Naomba nichangie Pamoja na kutaka usawa kina mama na kina baba naturally tuna tofauti za kimaumbile, kwa upande wa ngono kina baba ni dhaifu sana kwa sababu hisia zao zinavutwa na kuona wakati wakina mama hisia zao ziko mbali na zinasababishwa mpaka aimbishwe yaani apigwe sera ashikwe shikwe. Pia kina mama wana upendo wa kweli hawezi kukubali kukupa tunda mpaka awe amekukubali au awe mfanya biashara dada poa, lakini kwa akina baba anaweza kutembea na mtu for fun labda kavutiwa na miguu yake tu. Suala linalofanya kina mama wanynyasike ni mfumodume na unyonge wa kiuchumi wa mwanamke kwani mwanamke anapoolewa anakwenda kukaa kwa mume hivyo ni rahisi kuteswa kunyanyaswa akavumilia. Swala lingine ni watoto, mila na desturi ufahamu na kiwango cha elimu. Hata hivyo nawashauri wa kina mama mnapaswa kuwa ngangari mzee anapoleta za kuleta usimlegezee atakuletea magonjwa. Kwa ujumla vitendo vya kukosa uaminifu kwa mke au mume vinapswa kulaaniwa na si vya kuvumilika kwa pande zote hivyo havifai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…