Wimbo mpya kuhusu kutekwa kwa Roma

Hatimae mjadala wa vyeti closed.. Kama utani vile... Gwajima kwisha habari yake...sjui Mange.
 
Haha nipo mkuu sema vijana wamelegeza napenda ngumu saana. Raia wamelegeza hakuna cha kujadili.

Kwema lakini.
Ukaamua kukimbilia kule siyo?.

Nipo na mtoto wa miaka mitano hapa na kaniuliza hivi "Hivi kati ya Ulimi na Meno,nani mpangaji ndani ya Mdomo?.Nadhani majibu unayo.Naomba jibu haraka.

Nipo njema Mkuu.Jukwaa lenu linasemaje?.
 
Ukaamua kukimbilia kule siyo?.

Nipo na mtoto wa miaka mitano hapa na kaniuliza hivi "Hivi kati ya Ulimi na Meno,nani mpangaji ndani ya Mdomo?.Nadhani majibu unayo.Naomba jibu haraka.

Nipo njema Mkuu.Jukwaa lenu linasemaje?.
Kwema kamanda kabla sijajibu naskia kuna kipande cha track ya ROMA niwekee kama unacho nikiskie ebu
 
Nilikuelewa vibaya Mkuu! Kumradhi.

Hicho kipande unachokiulizia siifahamu Mkuu.
Kuna mtu kaniambia kuna kipande kabla ya kukamatwa tongwe walikuwa wanakirekod ssa najaribu kukitafuta sikipatiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…