Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Kwa ambao hawajaiona video, hii hapaNyimbo zilizobeba ujumbe mkubwa na uhalisia wa maisha yetu kwa kifupi si tuu zilikuwa nyimbo bora .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ambao hawajaiona video, hii hapaNyimbo zilizobeba ujumbe mkubwa na uhalisia wa maisha yetu kwa kifupi si tuu zilikuwa nyimbo bora .
Mkuu wa wilaya ya Kisarawenikiingia youtube naandika nini ili kuutazama huo wimbo ?
Hahahaha .......fala kweli hili zeeMkuu wa wilaya ya Kisarawe
Haki ya Mungu hizi bangi sijui za wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaaahhh wap ngoma ni ya kawaida sana....ingawa bado sijaiskia........hebu ngoja nikaiskilize vzuri.....ila ya kawaida
[emoji23][emoji23]Haki ya Mungu hizi bangi sijui za wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asee umenchekesha kinoma arif king kong wa 3Huwa sishabikii vitu vibovu mkuu ndio maana sio shabiki maandazi wa matimu mavi ya kiba na domondi.
Hahahahahah aisee mwambie amcheki tena sadali aongeze puli mbili nalipia zote!Haki ya Mungu hizi bangi sijui za wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Oi cheki na sadali akuongezee puli za ndumu, ntalipa mwanetu!Aaaahhh wap ngoma ni ya kawaida sana....ingawa bado sijaiskia........hebu ngoja nikaiskilize vzuri.....ila ya kawaida
Mwimba kwaya za kanisani aliyuonja utamu wa yesu.Ali Kiba ndio nani?
HuYu jamaa kachoka ni kheri abakie kuwa mshabiki tu.
Bro mbona unatumia nguvu nyingi kulazimisha wimbo uonekane mzuri?😂Nyimbo zilizobeba ujumbe mkubwa na uhalisia wa maisha yetu kwa kifupi si tuu zilikuwa nyimbo bora .
Napelekwa mbali kifikra baada ya kusikiliza nyimbo za mwanamuziki huyu ambaye si tuu anajua kuimba bali anajua nini cha kuimba, wakati gani na kwa watu gani.
Wahenga walisema tends mema nenda zako king kiba endelea hivyo hivyo.
Kwa ambao hawajaiona video, hii hapa
Bora astaafu mziki aiseeee.Kahamia kwenye mpira nasikia kasajiliwa coastal union
Wimbo umepotea katika mazingila yasio eleweka kabsa