Wimbo mpya wa Ali Kiba 'KADOGO': Toa Maoni na ushauri wako hapa

Acheni utani basi jamani yaani mnaaminishwa na clouds kuwa alikiba ni mfalme wa bongo fleva kwa kipi alichofanya tangu aanze muziki?au ameifanyia nini Tanzania kimataifa au wasanii wenzake?maana mm najua hata hata ukiwa sehemu yoyote duniani ukitaja bongo fleva basi utaulizwa kuhusu diamond platnumz basi maana ndie ambae kila tuzo za kimataifa zikitangazwa yupo hata mwaka huu kitu ambacho alikiba cjui Mara ya mwisho alitajwa wapi na hata wakitajwa pamoja labda yesu ashuke kibakuli kupata nafasi ya juu ya mondi kwenye tuzo,na ndani ya nchi kuna kina dully Sykes,angalau huyo anastahili kwa Kuanzisha hii fleva,acheni kumpamba uyo jamaa pacha wa bush man wa God's must be crazy.asante ila muache roho mbaya za unafiki yaani mnakera kulazimisha mkaa kuwa mweupe.
 
Ali bna yoh,yoooh nyiingi.naona ameamua kuchuana na dudu baya kutafuta views
 
M nlshamkimbia uyu jamaa nau nko WCB, any wei ngoja tuone ngoma hii na ya darasa ipi itakimbiza...
 
Dah ngoma mbovu kishenz alafu ulivyo mpuuz unaisifia tu

Huyu jamaa ataachaga lini kuimba mapambio?
 
Huyu kiba mnakingia kifua na kumdekeza sana...

Ila ukweli ni kuwa huyu jamaa ni mzembe sana katika mziki wake kwa sasa, na tokea diamond ashike usukani amekuwa ni mtu wa kupenda kubebwa bebwa sana na kutegemea mashabiki wamtetee ila ubunifu siku hizi ni zero kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…