Wimbo mpya wa Ali Kiba 'KADOGO': Toa Maoni na ushauri wako hapa

Kwakweli ni taka taka tupu huo sio wimbo.
 
Hapo sasa. Sijui wanataka abadilike aimbe matusi kama wale jamaa wa upande wa pili
Binadamu ndivyo walivyo... Hata Diamond kuna kipindi alipigwa vita sana humu, kuna jamaa alikuwa analeta thread zake humu alipata tabu sana [emoji3][emoji3]...
 
YAANI HII NGOMA YA KING KIBA NIMEIELEWA KINOMA NOMA NIMEIPENDA KWELI KIBA NI NOMA
 
Me katika wimbo mzima napenda kile kipande cha “ye Baba “ ila the rest hakuna mzuka
 
Kwa waumini wa kiislamu, siku ya alhamis na ijumaa ni siku njema sana
 
Hii nyimbo niliisikilizaga juu juu tu nikawa sijaielewa ..... Lakini Leo nakiri kwamba ni bonge la ngoma bonge la Afro pop... Chorus imekaa kijanja sana ..kisasa na kileo .. Ajitahidi tu kwenye kui- promoted
 
a

asamoh ni footballer kaangalie hata wikipedia wasifu wake kuimba anafanya kama funny tyu kama ivo mbna ramos nae anavinyimbo ila anajulikana kama footballer nyimbo sio biashara
Kwani alikiba kacheza mechi ngapi hadi sasa?.hata alikiba mpira anacheza for funny tyu.pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…