Wimbo mpya wa Ali Kiba 'KADOGO': Toa Maoni na ushauri wako hapa

Wimbo mpya wa Ali Kiba 'KADOGO': Toa Maoni na ushauri wako hapa

Hii ni funga mwaka!
Mambo yote ni kadogo sasa hivi...

Ila Kiba anajua jamani! Humo ndani ya Kadogo kacheza na sauti hadi nimeshangaa!
Club banger ya kibabe
Duuh kweli kipendacho roho ula nyama mbichi , nyimbo ya ovyoo kabisa hii
 
Uyu jamaa mashabik zake wanaomsifia kinafiki wanamharibu sana its better mkamwambia ukweli ili abadilike jamaa alikuwa anabebwa sana uwezo wake mdogo kama nyimbo yake iyo ya kadogooo
 
Tunao sikiliza Hip hop Only tuna comment wapi.??
 
vjana wetu hao jamani tuwapende ila wanayofsutiana sana kwenye mziki na washabki wanajua msipate tabu kikubwa tuwape moyo mziki ukue nje ya mipaka
 
Hii ngoma ni fire aiseee huyu jamaa ana muziki wa peke yake yaani muziki wake una radha za kitanzania tu hana tabia ya kuchukua sample za kenya wala Uganda
Naona haujaisikia bolingo hapo
 
Kiba namkubali, katika ngoma zake zote ukiacha mwana darisalama kuna ile:
"Nilimwambia asile, ye alikula akavimba akajaa, mtoto mzuri aliezaa na yule jamaa mwenye mahela akaniacha na njaa kwenye mataa...." Aisee ile hua inanikosha sana
Huyu ndo alikuwa kiba sasa
 
Back
Top Bottom