Wimbo mpya wa Allykiba uliovuja, wageuka kuwa hit song

mkuu huu ndo unazi husiokuwa na maana..kwani kumpenda mtu mmoja ni lazima umchukia mwingine??..unaposema alikiba HAJUWI unamaana gani?...mziki wa bongo fleva umeanza kuusikiliza lini?
 
Mmefuta comment yangu,
Naandika tena, wanaume wamenyooka, inameni mshughulishwe!
 
Mmefuta comment yangu,
Naandika tena, wanaume wamenyooka, inameni mshughulishwe!

Hahahaaaaa mbona hawakufuta zile za minyoosho? Ndio wameshanyooka sasa ngoja wapewe haki zao walizokuwa wakizililia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…