Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
mkuu huu ndo unazi husiokuwa na maana..kwani kumpenda mtu mmoja ni lazima umchukia mwingine??..unaposema alikiba HAJUWI unamaana gani?...mziki wa bongo fleva umeanza kuusikiliza lini?Inaonekana huo upuuzi alitunga kipindi anastress za mikopo ya saccoss
Kama ameishiwa mjaribu kumwambia hata anicheki private message naweza nikamconnect na Mbabe wao Chibu dangote Aende akarekodi Studio za wassafi recods bure maana wasanii chipukizi ni bure ila yeye tutamuwekea exception kwakuwa show hakuna
Ila kiufupi WIMBO MBOVU SIKUTEGEMEA NILICHOKIKUTA JAPOKUWA HAJUWI LAKINI THIS IS TOO MUCH