We si mzima yani mwenzio ana matatizo alafu unasema kauzima wimbo wa diamond platnumz, mimi sijui kama anatumia au hatumii unga, lkn muda huu ni wakumuomea huruma na si hizi habari za kijinga unazozileta ktk jukwaa, hapa ujue wema itamsababisha akose wadhamini washughulia Zake mbalimbali. Alafu ukae ukiijua diamond platnumz ni brand kubwa Africa hategemei mashabiki wa tz peke yake kwa level aliyoifikia diamond platnumz hata achukue madebe ayagonge gonge alafu aimbe nyimbo yake itahit tu, kidogo mliuponda lkn huko kwenye TV za kimataifa unapigwa kila mara.