kama kawaida yako hubahatishi mpk IGaaaaah huu mchambo wa 4g binamu khaa
Me huyo Mkuu!Hivi wewe ni me au ke?
Nakukubali sana warumiwema ana nyota kama warumi, hata nipotee vipi nikirudi lazima niwe juu kama kawa, warumi forever babeee, natamani kujioa
Mjomba ee mi bado nipo aseeNakukubali sana warumi
Celebrities forum bila wewe+ Msaga sumu hainogi kabisa
Iceman [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mjomba ee mi bado nipo asee
Naona umenisahau kiaina mkuu
Ndugu yetu supermarket aliondoka
Ha ha ha ha imebidi nicheke, she may be a princess but she doesn't fit to be a queen.Inasemekana ule wimbo Diamond kamuimbia Wema Sepetu.
HahahaaIceman [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umepotea ndugu yangu sikuoni kabisa kila nikiingia Jf
Supermarket daaah sijui yuko wapi aisee
Nishakaribia mkuuHahahaa
Mkuu toka uondoke pengo lako halija zibika
Nipo sana ila ili fika stage naona wote mmeondoka soo nikawa naingia mara chache chache
Supermarket sijui kilichompata ila inaonekana kuna watu ali waaga kabisa, mi sikupata bahati hiyo ua kuagwa mkuu
Karibu sanaaa bro
Asee sisi ndio tulikumiss zaidiNishakaribia mkuu
Daaah ila ngoja nimchek pm mkuu supermarket nione kama ntampata
Niliwamiss sana ndugu zangu