Wimbo mpya wa kumtaka Mbowe apumzike

Wimbo mpya wa kumtaka Mbowe apumzike

Bob Marley alikuwa lazima awe High ndio atoe ujumbe usiangalie ulevi angalia ujumbe.
Sema ujumbe upo sawa, sema nyimbo inaonekana alikuwa amebwia vitu...
Marley ulikuwa huwezi kuhisi amevuta bangi alipokuwa anaimba..
 
Sema ujumbe upo sawa, sema nyimbo inaonekana alikuwa amebwia vitu...
Marley ulikuwa huwezi kuhisi amevuta bangi alipokuwa anaimba..
Glass moja ya Konyagi ndio unaigia studio ni jambo la kawaida tujikite kwenye ujumbe.

Usije ukawapa sababu ccm ya kuufungia kwasababu ya msanii kulewa.
 
Team Lissu hatutoi RUSHWA hata senti moja hawa vijana wa BAVICHA wamemchoka Mbowe.
Hivi Kuna kijana anayeunga mkono mbowe kuendelea kukalia kiti zaidi ya miaka 21+? Mbowe akae pembeni abaki mshauri wetu mkuu
 
Hivi Kuna kijana anayeunga mkono mbowe kuendelea kukalia kiti zaidi ya miaka 21+? Mbowe akae pembeni abaki mshauri wetu mkuu
Hakuna ni akina Yericko tu ambao ndio wanasema Mbowe ni Alfa na Omega.
 
Ayatollah khemenei kaguta nkurunzinza mbowe 😄😄😄
Mugabe-sleeping.jpg

Roberto Mugabe.
 
Ni kibao muruwaa kinafaa kushushia na bapa dogo.
 
Back
Top Bottom