and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Nimesikiliza si naona kapiga biti la amapiano anaongea huku amelewa, au mkuu husikii jamaa ana tone ya ulevi...Mkuu kibao chenyewe ni hiki hapa bado cha moto kutoka studio.
View: https://youtube.com/shorts/N_2vsS8I9r0?si=fDGV4IWlH8d4jwz4
Lisu anaungwa mkono na walevi wakishalewa chakariNimesikiliza si naona kapiga biti la amapiano anaongea huku amelewa, au mkuu husikii jamaa ana tone ya ulevi...
Sema ujumbe upo sawa, sema nyimbo inaonekana alikuwa amebwia vitu...Bob Marley alikuwa lazima awe High ndio atoe ujumbe usiangalie ulevi angalia ujumbe.
Glass moja ya Konyagi ndio unaigia studio ni jambo la kawaida tujikite kwenye ujumbe.Sema ujumbe upo sawa, sema nyimbo inaonekana alikuwa amebwia vitu...
Marley ulikuwa huwezi kuhisi amevuta bangi alipokuwa anaimba..
Naunga mkono hoja. Kama mamilioni ya wanachama hawakutaki then wewe ukawahonga wajumbe wachache ili uendelee kutawala sijui utawaongozaje watu wasiok Apewe ulinzi.Apewe Ulinzi
Haahaa pole mkuu, endelea kukaa gizaniEndelea kushabikia Arsenal
Hivi Kuna kijana anayeunga mkono mbowe kuendelea kukalia kiti zaidi ya miaka 21+? Mbowe akae pembeni abaki mshauri wetu mkuuTeam Lissu hatutoi RUSHWA hata senti moja hawa vijana wa BAVICHA wamemchoka Mbowe.