well said,,,,,Ujue kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake. Ila muda mwingine tusahau tusonge mbele? Yeye kabaniwa pesa sawa, mbona yeye alimbania kiumbe, tena juu kwa juu? Hakuwa na haki ya kuishi?Watu wamefanya kazi kubwa wewe kufika hapo, je hiyo ndio shukrani? Katika maisha bila uvumilivu utaangaika sana mpaka kifo chako. Kutoka kulala chumba kimoja na mjomba wako hadi kuwa na sehemu yako sio swala dogo! Mdogo wangu Rubby ukupaswa kuongea wala kuonyesha dalili zozote za kihisia.. Walio kutoa ni kama baba zako hapa mjini, wanajua madhaifu yako mengi sana. Nakusuhii usirudie tena, watu watafurah kwa kile unachoonyesha lakini je watakusaidia nini? Jitazame upya dada yangu. Bongo hii story kila sehemu, kula na maladhi juu yako
Umeongea point mkuuUjue kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake. Ila muda mwingine tusahau tusonge mbele? Yeye kabaniwa pesa sawa, mbona yeye alimbania kiumbe, tena juu kwa juu? Hakuwa na haki ya kuishi?Watu wamefanya kazi kubwa wewe kufika hapo, je hiyo ndio shukrani? Katika maisha bila uvumilivu utaangaika sana mpaka kifo chako. Kutoka kulala chumba kimoja na mjomba wako hadi kuwa na sehemu yako sio swala dogo! Mdogo wangu Rubby ukupaswa kuongea wala kuonyesha dalili zozote za kihisia.. Walio kutoa ni kama baba zako hapa mjini, wanajua madhaifu yako mengi sana. Nakusuhii usirudie tena, watu watafurah kwa kile unachoonyesha lakini je watakusaidia nini? Jitazame upya dada yangu. Bongo hii story kila sehemu, kula na maladhi juu yako
Umeongea point mkuu
Watu kama nyinyi ndo mnawafanya hawa wanakufa masikini kama kweli clouds hawanyonyi wasaniiUjue kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake. Ila muda mwingine tusahau tusonge mbele? Yeye kabaniwa pesa sawa, mbona yeye alimbania kiumbe, tena juu kwa juu? Hakuwa na haki ya kuishi?Watu wamefanya kazi kubwa wewe kufika hapo, je hiyo ndio shukrani? Katika maisha bila uvumilivu utaangaika sana mpaka kifo chako. Kutoka kulala chumba kimoja na mjomba wako hadi kuwa na sehemu yako sio swala dogo! Mdogo wangu Rubby ukupaswa kuongea wala kuonyesha dalili zozote za kihisia.. Walio kutoa ni kama baba zako hapa mjini, wanajua madhaifu yako mengi sana. Nakusuhii usirudie tena, watu watafurah kwa kile unachoonyesha lakini je watakusaidia nini? Jitazame upya dada yangu. Bongo hii story kila sehemu, kula na maladhi juu yako
Ni kweliWatu kama nyinyi ndo mnawafanya hawa wanakufa masikini kama kweli clouds hawanyonyi wasanii
mafanikio aliyonayo barnaba na kipaji hayaendani
unamjua recho unajua yuko wapi
clouds sio wakuwatetea sema wasanii wanakuwa waoga tu
Kwa upande wangu naona Ruby kafanya maamuzi mazuri tu,bora mwanaume unanyonywa upande mmoja tu wa kipesa. Dada zetu wananyanyasika sana, kwahiyo wanatakiwa watokee kina Ruby kama kumi hivi hii tabia itaisha. Riziki anatoa Mungu haya mambo ya kuvumilia kila kitu kwa karne hii hayana mashiko. Kama unajiamni na unakipaji kwann uishi kama mkimbizi. Ruby kaza but Mungu atakusimamia tu. Acha na miungu watu
Watu kama nyinyi ndo mnawafanya hawa wanakufa masikini kama kweli clouds hawanyonyi wasanii
mafanikio aliyonayo barnaba na kipaji hayaendani
unamjua recho unajua yuko wapi
clouds sio wakuwatetea sema wasanii wanakuwa waoga tu
Ruge Mutahaba Je wewe ndiye mgawa riziki?
Acha kumtisha wewe yani kwa vile wamemsaidia ndo akubali kuendelea kuburuzwaUjue kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake. Ila muda mwingine tusahau tusonge mbele? Yeye kabaniwa pesa sawa, mbona yeye alimbania kiumbe, tena juu kwa juu? Hakuwa na haki ya kuishi?Watu wamefanya kazi kubwa wewe kufika hapo, je hiyo ndio shukrani? Katika maisha bila uvumilivu utaangaika sana mpaka kifo chako. Kutoka kulala chumba kimoja na mjomba wako hadi kuwa na sehemu yako sio swala dogo! Mdogo wangu Rubby ukupaswa kuongea wala kuonyesha dalili zozote za kihisia.. Walio kutoa ni kama baba zako hapa mjini, wanajua madhaifu yako mengi sana. Nakusuhii usirudie tena, watu watafurah kwa kile unachoonyesha lakini je watakusaidia nini? Jitazame upya dada yangu. Bongo hii story kila sehemu, kula na maladhi juu yako