Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Habari wakuu,
Nimeusikia kwa mara ya kwanza wimbo wa mwanadada Ruby baada ya kujitoa katika matamasha ya Fiesta. Wimbo unaitwa Wale Wale, mwadada kama kawa kaimba poa sana wimbo unamelody kali sana yaani zile zinaitwaga "Catch Melodies".
Lakini maudhui ya wimbo naona kama katupa jiwe kwa Clouds na Bwana Mutahaba.
Nimeusikia kwa mara ya kwanza wimbo wa mwanadada Ruby baada ya kujitoa katika matamasha ya Fiesta. Wimbo unaitwa Wale Wale, mwadada kama kawa kaimba poa sana wimbo unamelody kali sana yaani zile zinaitwaga "Catch Melodies".
Lakini maudhui ya wimbo naona kama katupa jiwe kwa Clouds na Bwana Mutahaba.