Lazima hasa pale ajira yako inapokuwa mashakani pale unapohisi waajiri wako wanataka kusitisha ajira yako.kaa karibu na TBC mkuu,jiwe sasa hivi ana hasira sana .siku pekee alikuwa hajamind ni alipokuwa Musoma huko
Wa Nyumbani Tanzania na si vinginevyo msipotoshe enyi Chaggadema
Hii roho chafu imepandikizwa na awamu hii.Full UKABILA, UDINI NA UKANDA.
HIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!HUKO TUNAKOKWENDA NI MAJUTO.
Lazima hasa pale ajira yako inapokuwa mashakani pale unapohisi waajiri wako wanataka kusitisha ajira yako.
Hawa wanasiasa hawawezi ishi nje ya ajira Ni lzm wafe njaa. We uoni juakali alizimia kwa kupata kura 4.
Wanatuambia tujiajiri Hali wanaogopa kujiajiri
Kusini wanamsubiria, kagera wanamngoja aongeze tu idadi ya hasira hazitoshikaa karibu na TBC mkuu,jiwe sasa hivi ana hasira sana .siku pekee alikuwa hajamind ni alipokuwa Musoma huko
Kumbuka unajibisha na mbobezi wa kiswahili nasema wanamanisha wa Nyumbani Tanzania na si vinginevyoNyumbani ni USUKUMANI.
USIPOTOSHE, KISWAHILI NI LUGHA YETU.
SanaaaaKawimbo katamu Sana kale
Weka clipamezomewa muda si mrefu,kuna kamba amewapiga wananchi wakaanza kuzomea mpaka aka mind
Soon achelewi kuwatoa masheik wa uhamsho ili kuipooza pemba.[emoji16]sasa hivi mzee kapanick sana anahaidi mpaka bima za Afya nasikia hazipo kwenye ilani yao. siasa ni kazi ngumu sana aise,unapewa matusi kila kona wakati una mawazo mala uzomewe
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma kanahamasisha apigiwe kura John Pombe wa nyumbani (wamkaya).
[emoji444][emoji444]Tukang'wine kura, wamkaya..
John Pombe, tuchagulagi x2[emoji445][emoji445]
[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]
[emoji16]sasa hivi mzee kapanick sana anahaidi mpaka bima za Afya nasikia hazipo kwenye ilani yao. siasa ni kazi ngumu sana aise,unapewa matusi kila kona wakati una mawazo mala uzomewe
Weka clip
Aliwasomesha namba watz Sasa ni zamu yake kuisoma kwenye sanduku.
Safari hii Mkapa wa kumbeba ayupo anajibeba alone na slow slow wake.
Vijana wanataka mabadiliko.
Mzee wa ubweche naye aje na wa kwao na Mbowe na TL na Sugu kila mbunge ili tufike mapema tunako taka kufikaTanzania tunawacheka Kenya kuwa wanachaguana kikabila Ila na sisi tunaelekea Huko
Kuuweka wimbo wa kampeni kwa kisukuma ni ukabila tosha!Sikiliza Wimbo vzr wewe
Kama unaelewa hiyo kabila!!
Kweli kukaya ni Nyumbani lkn dhima ya mtunzi inamaana nyingi sana
Kwani kuna mgombea anatoka nchi nyingine. Wote si wa nyumbani 😲Wa Nyumbani Tanzania na si vinginevyo msipotoshe enyi Chaggadema
Usihofu wandava wataiclip na kuiweka humuclip sina mkuu,nilikuwa natizama Live
AhahahaAliwasomesha namba watz Sasa ni zamu yake kuisoma kwenye sanduku.
Safari hii Mkapa wa kumbeba ayupo anajibeba alone na slow slow wake.
Vijana wanataka mabadiliko.