Uchaguzi 2020 Wimbo: Tumchague John Magufuli mtu wa nyumbani

Uchaguzi 2020 Wimbo: Tumchague John Magufuli mtu wa nyumbani

hapana,alikua anawambia wagombea aliiwachagua ni wenyeji wa hapo,wazaliwa wa hapo hivo wawachague,wakazomea akatishia kuondoka,akapandwa na hasira akasema wasipomchagulia wagombea wa Ccm wasimuulize kuhusu maendeleo kwa sababu hatofanya mradi wowote wa maendeleo hapo

Hahah Aisee hii ni mpya mzee baba,naona mpk wasukuma wamecharuka kuletewa watu wasiowajua.

Na jamaa hachelewi kuwasusa kweli kwny maendeleo maana kwa visasi yuko njema.
 
Kale ka wimbo katamu sana, Huku usukumani kanahamsisha wasukuma wampigie wamkaya.
 
Tukirudia Tena kosa watz tumekwiishaa.
Atatumia vigezo vya kutokamilka kwa miradi kung'ang'ania madaraka kama Dikteta Kabila. Vipi 2024 akianzisha mfano mradi wa kuhamisha bahari ya hindi kwenda Chato utaisha lini si atasema Hadi ukamilike ndo aachie.
Nafasi pekee Mungu katupa ni October huko mbeleni ni hatari amevaa ngozi ya kondoo sababu ya shida ya kura zetu.
 
Hahah Aisee hii ni mpya mzee baba,naona mpk wasukuma wamecharuka kuletewa watu wasiowajua.

Na jamaa hachelewi kuwasusa kweli kwny maendeleo maana kwa visasi yuko njema.
Visasi,bifu na ligi pale Ni kiwandani, nadhani wakenya wanajuta kubip kiwanda.
 
Hahah aisee wasukuma hawanaga noma na mtu,ukiona mpk wanakukatalia kitu hadharani jua hapo wamemaindi kishenzi.

Jamaa leo atakua na mood mbaya sana,watakao kua mbele yake watakua halali yake leo.

leo kachafukwa vibaya sana,anaweza kufukuza kazi watu huko Mwanza maana anaelekea Mwanza[emoji23]
 
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma kanahamasisha apigiwe kura John Pombe wa nyumbani (wamkaya).

[emoji444][emoji444]Tukang'wine kura, wamkaya..
John Pombe, tuchagulagi x2[emoji445][emoji445]

[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]
Mbona hujamalizia lyrics zote
Kuna
CCM ya mkaya
Twechagulagi
 
Muendelezo wa ukabila awamu hii. Nchi imeharibika sana kutokana na jiwe tafadhali acheni ukabila na tumchague mtu ambaye sio mkabila.
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma kanahamasisha apigiwe kura John Pombe wa nyumbani (wamkaya).

[emoji444][emoji444]Tukang'wine kura, wamkaya..
John Pombe, tuchagulagi x2[emoji445][emoji445]

[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]
Mjumbe salama

Nahiitafuta sana hiyo nyimbo.

Mwenye nayo aipandishe hapa
Utafute huo wimbo uusikilize wote ndio urudi na hili topic yako!!!


Pengine utaleta maana nzuri!!!


CCM yakukaya!
[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]
Kawimbo katamu Sana kale
Tanzania tunawacheka Kenya kuwa wanachaguana kikabila Ila na sisi tunaelekea Huko
Ukabila at it's best. Tume iko kimyaaaaa......
Jamani, hebu tume itoe tamko mara moja likiwepo la kuifuta ccm Kama chama cha siasa hapa tz
Kimsingi wasukuma tunamchagua magufuli.

.hata hafai kivp tunamchagua na akitoka atuachie luhaga Johnson mpina kama rais wa 6
hapana,alikua anawambia wagombea aliiwachagua ni wenyeji wa hapo,wazaliwa wa hapo hivo wawachague,wakazomea akatishia kuondoka,akapandwa na hasira akasema wasipomchagulia wagombea wa Ccm wasimuulize kuhusu maendeleo kwa sababu hatofanya mradi wowote wa maendeleo hapo
 
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma kanahamasisha apigiwe kura John Pombe wa nyumbani (wamkaya).

[emoji444][emoji444]Tukang'wine kura, wamkaya..
John Pombe, tuchagulagi x2[emoji445][emoji445]

[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]
Huyu muhutu ana associate na wasukuma kuwafundisha ukabila.

Mzee maji shingoni , ameona njia sahihi na ya mwisho ni ukabila.

Cc gwajiboy
 
leo kachafukwa vibaya sana,anaweza kufukuza kazi watu huko Mwanza maana anaelekea Mwanza[emoji23]
Hahah ngoja hii ngoma niifuatilie kwny TV najua pale Kirumba kuna jambo atalisema tu,ukiangalia na majuzi tu hapo Lissu ametoka kumwaga sumu ya kutosha Mwz na akapata mafuriko ya hatariii.

Ngoma tusubiri tuone mziki mnene.
 
Hahah ngoja hii ngoma niifuatilie kwny TV najua pale Kirumba kuna jambo atalisema tu,ukiangalia na majuzi tu hapo Lissu ametoka kumwaga sumu ya kutosha Mwz na akapata mafuriko ya hatariii.

Ngoma tusubiri tuone mziki mnene.

kaa karibu na TBC mkuu,jiwe sasa hivi ana hasira sana .siku pekee alikuwa hajamind ni alipokuwa Musoma huko
 
Mgombea John Magufuli akiwa amesimama pale nyashimo jimboni busega asubuhi hii, Kuna kawimbo kalikuwa kanasikika kutoka kwenye gari la matangazo la mgombea, kanyimbo hako ni ka kisukuma kanahamasisha apigiwe kura John Pombe wa nyumbani (wamkaya).

[emoji444][emoji444]Tukang'wine kura, wamkaya..
John Pombe, tuchagulagi x2[emoji445][emoji445]

[emoji444]John Pombe, wamkaya..
Bakema na bagosha, tuchagulagi[emoji444]


Full UKABILA, UDINI NA UKANDA.

HIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!HUKO TUNAKOKWENDA NI MAJUTO.
 
Back
Top Bottom