124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
Chekechea sikumbuki kitu ,primary kisutu haikuwa maalum kiivyo sikwendaSijui nina shida gani. Sijawahi shiriki graduation hata moja toka nianze kusoma na zimenipita sio chini ya 5
Tambaza secondarysikujua kinachoendelea kwa ndumu forest hill high kulikuwa na msiba home sista so after paper sikurudi tena.
Chuo wasnt that impressed nadani tuna fanana!