Wimbo wa Alikiba 'Mediocre' - Kweli kila zama na muda wake

Unajua matumizi ya "ko" na "so" kwanza...? Inaonekana hata shule haujaenda na Kama umeenda haukumuelewa mwalimu wako wa kiswahili.

Hadi sijawahi tumia x kwenye maisha yangu sawa dogo, jioabge urudi Tena narudia kusema pale katoa Boko.
 
Unajua matumizi ya "ko" na "so" kwanza...? Inaonekana hata shule haujaenda na Kama umeenda haukumuelewa mwalimu wako wa kiswahili.

Hadi sijawahi tumia x kwenye maisha yangu sawa dogo, jioabge urudi Tena narudia kusema pale katoa Boko.
Sawa kubwa wengine hatukwenda shule ila "ko" kwa mtoto wa kiume ni hatari sana.
 
Sawa kubwa wengine hatukwenda shule ila "ko" kwa mtoto wa kiume ni hatari sana.
Basi pole Kuna elimu ya watu wazima kajue tofauti zake ndo uje kukoment dogo langu au nipm nikupe lecture kidogo sawa
 
Basi pole Kuna elimu ya watu wazima kajue tofauti zake ndo uje kukoment dogo langu au nipm nikupe lecture kidogo sawa
Naelekea uzeeni hata nikisoma haiwezi kunisaidia. Ila mtoto wa kimue kutumia "ko" Deo Gratius tabia hizo ndizo anasema ni "umama",
Na wimbo wa Alikiba nimeusikiliza, siyo mzuri na siyo mbaya ni wa kawaida sana, naona anajaribu kubadilika toka atoke kwa Man Walter mzee wa masebene.
 
Acha uongo broh[emoji16][emoji16] umesikiza XXL lakin au unatuonaje sisi??
 
Acha uongo broh[emoji16][emoji16] umesikiza XXL lakin au unatuonaje sisi??
Kwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?

Na hayo mengine mengi ?
Kuwaga na akili kila kitu kipo wazi.
Kwanza unapata wapi muda wa kusikiliza huo utopolo?
 
Kwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?

Na hayo mengine mengi ?
Kuwaga na akili kila kitu kipo wazi.
Kwanza unapata wapi muda wa kusikiliza huo utopolo?
Sijui hujanielewa kwann nasema unatudanganya.
Umesema hii nyimbo alikiba alikuwa nayo kitambo tu lakn sio kweli Kama umesikiza XXL amesema ameitunga muda so mrefu, alaf hata ukisikiza wimbo Kuna mistar inazungumzia matukio ya hivi karibun Kama pruuuuh mpk chini, Mara commando nadhan umenielewa sasa
 
Sijuhi mmakonde wa watu kamkosea nini alikiba
 
Fact hapo sawa, but all in all Rudi shuleni kutofautisha "ko na so"
 
Kwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?

Na hayo mengine mengi ?
Kuwaga na akili kila kitu kipo wazi.
Kwanza unapata wapi muda wa kusikiliza huo utopolo?
Mbona Diamond akimtafuna zabibu kiba na akakaa kimya, so all in all alikiba kaimba utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…