Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #181
Ndomana unaitwa mawe au jiwe so hatushangai tukubali kaishiwa sana jamaaAkili huna wewe wapi kasema kaimba kwa ajili ya diamond
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndomana unaitwa mawe au jiwe so hatushangai tukubali kaishiwa sana jamaaAkili huna wewe wapi kasema kaimba kwa ajili ya diamond
mbali na posho hazipo hata ligi kuu wala daraja la piliHizi timu hizi sijui zina posho!
🤣🤣🤣🤣🤣mbali na posho hazipo hata ligi kuu wala daraja la pili
Mbona iko wazi acha kukaza ubongo , kafuria bhana alaaaaahHivi nyie watu mbona kama hamjielewi ni wapi kiba kasema kamuimbia mtu
Unajua matumizi ya "ko" na "so" kwanza...? Inaonekana hata shule haujaenda na Kama umeenda haukumuelewa mwalimu wako wa kiswahili.Mimi hapana siko kuzungumzia wimbo maana sijapata muda wa kuusikiliza, japo kuna mtu uwa naamini sikio lake kasema mzuri nikipata muda nitausikiliza.
Ila mkuu kama wewe ni wakiume halafu unatumia "ko" yani unaweka "k" badala ya "s" au "x" badala "s" inakuwa siyo poa.
Umeuambali na posho hazipo hata ligi kuu wala daraja la pili
Sawa kubwa wengine hatukwenda shule ila "ko" kwa mtoto wa kiume ni hatari sana.Unajua matumizi ya "ko" na "so" kwanza...? Inaonekana hata shule haujaenda na Kama umeenda haukumuelewa mwalimu wako wa kiswahili.
Hadi sijawahi tumia x kwenye maisha yangu sawa dogo, jioabge urudi Tena narudia kusema pale katoa Boko.
Basi pole Kuna elimu ya watu wazima kajue tofauti zake ndo uje kukoment dogo langu au nipm nikupe lecture kidogo sawaSawa kubwa wengine hatukwenda shule ila "ko" kwa mtoto wa kiume ni hatari sana.
Na kweli kafuliaKiba hapendi sifa ndo mana hatoi ngoma kali
Naelekea uzeeni hata nikisoma haiwezi kunisaidia. Ila mtoto wa kimue kutumia "ko" Deo Gratius tabia hizo ndizo anasema ni "umama",Basi pole Kuna elimu ya watu wazima kajue tofauti zake ndo uje kukoment dogo langu au nipm nikupe lecture kidogo sawa
Diamond platinumz ni The G. O. A. T maana alishatoka huko kwenye uking.
#NO KIKI
Acha uongo broh[emoji16][emoji16] umesikiza XXL lakin au unatuonaje sisi??Hiyo diss ya alikiba ni ya zamani alikuwa kaiweka tu alirecord baada ya mondi kumchana kwenye ile fresh remix
Mondi alisema alikiba akacheze na Dada zake kariakoo
Ali nae kajibu kuwa huwa anacheza na Dada yake mondi maana alishamtafuna queen darling enzi.
Alafu akamjibu mondi kuwa kama hiyo ulaya anayosema basi yeye kashaenda zamani mnoo.
Pia kuna sehemu anasema "we unavaa suso me bishop"
Yaani kipindi mondi anauza mitumba yeye alikuwa tiyari anavaa mikato yotee.
Nimeweka mizani sawa
Kwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?Acha uongo broh[emoji16][emoji16] umesikiza XXL lakin au unatuonaje sisi??
Sijui hujanielewa kwann nasema unatudanganya.Kwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?
Na hayo mengine mengi ?
Kuwaga na akili kila kitu kipo wazi.
Kwanza unapata wapi muda wa kusikiliza huo utopolo?
Sijuhi mmakonde wa watu kamkosea nini alikibaDaaaaaah Habarini Wana jamvi...?
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na mda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
Fact hapo sawa, but all in all Rudi shuleni kutofautisha "ko na so"Naelekea uzeeni hata nikisoma haiwezi kunisaidia. Ila mtoto wa kimue kutumia "ko" Deo Gratius tabia hizo ndizo anasema ni "umama",
Na wimbo wa Alikiba nimeusikiliza, siyo mzuri na siyo mbaya ni wa kawaida sana, naona anajaribu kubadilika toka atoke kwa Man Walter mzee wa masebene.
Sawa zabibu kiba tumekusikia na kukuelewa square [emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa zuchu tumekuelewa.
Nili shabiki mbugiraAcha uongo broh[emoji16][emoji16] umesikiza XXL lakin au unatuonaje sisi??
Mbona Diamond akimtafuna zabibu kiba na akakaa kimya, so all in all alikiba kaimba utopoloKwa akili zako kiba atasema kwenye redio live kuwa alishamtafuna queen darling?
Na hayo mengine mengi ?
Kuwaga na akili kila kitu kipo wazi.
Kwanza unapata wapi muda wa kusikiliza huo utopolo?