Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #261
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24]UNAJITEKECHA NA UNACHEKE MWENYEWE LIVIDEO TU LA COVER ANAONEKANA MZEE, KAIMBA UTUMBO WA KIWANGO CHA PHD, HD , NA SGR[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
The King himself
UNAWASHWA MWENYEWE SHOBO DUNDO TUU DOGO SAWA, MJINGA MKUBWA USIKOMENT KWENYE NYUZI ZA KIKUBWA TENA UTAPIGWA DOGO ACHA UMBUGIRA UNATULETEA LIKIBAMIA LENYE KIKEMA CHA MDOMO SQUARE NA BLEACH LAKE LA KIPUNGA AKAFUE MBELE.Kwani Kuna mtu kamtaja yule kilema wa mdomo mbona mnawashwa washwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Fact wambea hao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]A.K.A carrymastory
Utopolo ndo mzuri daaaaaah acha kuwa mtumwa wa fikra [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85]Ni wimbo mzuri, Ali kaamua kubadilika it is a yes for me
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji85][emoji85][emoji85]KALALE DOGO BADO UNDER16 UNAVYOONEKANA SAWA.Kinachokutesa Ni ushabiki wa kipuuz Sana
Na ukiona mtu anatumia nguvu nyingi Sana kutaka kuaminisha watu kuwa kitu fulani Ni kibaya Basi jua huyo mtu Ni mchawi ,amejaa wivu alaf Ni masikin wa mawazo na Mali.
Alaf ajabu unaweza kuta huna hata hati ya nyumba moja hapa mjini au hata kumilik ist Ni shida lakin upo mbele mbele kumkandia mwanaume aliekuzid mafanikio kwa mbali Sana .
Pia huna hoja za maana Zaid umejaa uswahil swahil tu na roho ya kwanini ,maana Kama Ni matusi nadhan hakuna anayemzid diamond na ukitaka kujua Hilo ashafungiwa had na basata kwa kuimba matusi ,pia ashaimba dis truck na kwa watu wenye akil tulijua tu kamlenga Nan ,Sasa mbona hukukomaa Kama ulivyokomaa hapa?
Alaf unasema Ali kazeka ,ww ambaye Ni kijana mbichi una Nini haswa Zaid ya upambe mavi hapa town ,yaan ww Ni chawa .ushaur wangu punguza shobo za kukandia waliokuzid maisha Kama Ni mziki shanikia kiburudani na sio kukomaa na personal issues.
Alaf mediocre hata t.i kaimba na unajua ule wimbo una views wangap alaf ajab ukipigwa club na mbuz Kama ww unakenua Ila kwa vile kaimba kiba Basi kaishiwa ,.
Alaf aliyeishiwa Ni Yule Ana maskendo ya kucopy manyimbo na videos mbali mbali huko alaf akiwaletea mburura Kama ww mnashangilia na kumwona mbunifu ,punguza ushamba kijana mziki Ni biashara na mziki unahitaj attention.
Mwisho kabisa najua utakuja na povu nakukaribisha Sana kijana Ila jua ww Ni mshamba na hujui mziki kabisa Zaid uchawa umekutawala ,kwa tunaoujua mziki hatuwez kuwa na mawazo km hayo yako ya kindezi.
Diamond Ni mwanamzik mzur pia Alikiba Ni mwanamzik mzur kila mtu Ana vionjo vyake na watanzania tunataka Radha tofaut tofaut ya mziki ,ndio maana Kuna taarabu ,clank,hip hop ,raggae ,rnb,kaswida ,nk .naishia hapo
Kalale DOGO wewe bado mtoto sawa karibu tenaHujajua vzuri bro. Kwa strategic za baias
Acha kunifata fata wewe nilishasema sina cha kujadiliana na wewe
UFUNGWE KWANI YEYE NDO KAUFUNGUA ACHENI UMBUGIRA SAWA MADOGO WA KIBA.Uzi na ufungwe ...
Umemaliza kila kitu
Kalale hata hizo sekunde 30 nimeupendelea nilisahau nimeishia sekunde 3 na naujua vizuri sawa dogo karibu tena nikupe dawaNo wonders wanawake ni wengi kuliko wanaume na huo uwingi unachangiwa na watoto wa kiume walioamua kuwa wanawake.
Umeishia sekunde ya 30 ila unajua kila kitu kilichomo.
Mediocre!!
So likibamia kizee ndo kikilema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kati ya hao wawili Kuna mmoja mwenye mdomo mkubwa na mwingine huyu alietoa diss track ambae mdomo umepinda akiwa anaongea au kuimba,una maanisha kilema yupi[emoji15]?
Diamond platinumz alishasema this time hatoi Kiki Wala Busta so akafie mbele(Diamond the G. O. A T).Lazima apuuze King wa mafundo..atajibu nini ..Mungu sio mzee Mkumba fundo hadharani Dodoma
Wewe mwenyewe maisha magumu ndo Mana sote tupo hapa sawa dogo wewe ni hopeless squareWashamba ni nyie mnaojadili nyimbo za hao jamaa wenye maisha yao na wanajuana.
Mmeshindwa kuelewa kwamba wenzenu wanafanya mziki kazi.
Ukute saizi wamekaa wanawacheka mnavyotokwa na povu watoto wa kiume.
Mkitoka hapa mnaenda kulalamika maisha magumu.
Hopeless kabisa kushindwa kung'amua mambo
Kalale unatamka ujinga au haujaenda shuleni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Midioka [emoji2]
Hili lilikuwa linanishinda tamka
Hakuna kitu kibaya mjinga kutojua kuwa ni mjinga.Kalale hata hizo sekunde 30 nimeupendelea nilisahau nimeishia sekunde 3 na naujua vizuri sawa dogo karibu tena nikupe dawa
Uwezo wako umeishia hapo? Endelea kujadiri maisha ya wenzako utafika unapopatakaWewe mwenyewe maisha magumu ndo Mana sote tupo hapa sawa dogo wewe ni hopeless square
HAKUNA KITUMKIBAYA MJINGA SQUARE KUTOKUJUA JUWA NI MJINGA SQUARE.Hakuna kitu kibaya mjinga kutojua kuwa ni mjinga.
Wewe ni mjinga na bahati mbaya hujui kuwa wewe ni mjinga tena wa kutupwa
Uwezo wako umesihia hapo square...? Endelea kujadiri maisha ya wenzako utafika unapopataka square sawa dogo.Uwezo wako umeishia hapo? Endelea kujadiri maisha ya wenzako utafika unapopataka
Unampa nani za uso zaid ya ku expose ujinga wako?HAKUNA KITUMKIBAYA MJINGA SQUARE KUTOKUJUA JUWA NI MJINGA SQUARE.
WEWE NI MJINGA SQUARE NA BAHATI MBAYA SQUARE HUJUI KUWA WEWE NI MJINGA SQUARE TENA MJINGA SQUARE WA KUTOWA SQUARE.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] njoo Tena nikupe za uso
Mimi na wewe nani MJINGA...? Wewe kumbinulia kiba ndo umeona fashion...? Boss wako atajupiga wewe nenda ukafanye kazi now uache UMBUGIRA sawa dogo.Unampa nani za uso zaid ya ku expose ujinga wako?
Hata kama unalipwa boss wako lazima akazabe makofi kwa kuwa mjinga kiasi hiki.
Naamini hata huyo Diamond unayembinulia hapa anakuona jinga sana.
Noma sanaKiba kamaliza interview EA radio planet bongo mida hii. Anaita mediocre 'hip hop'! mpaka anaemhoji kashtuka kamuuliza zaidi ya mara tatu hii ni 'hip hop'? Kajibu ndio!
Kiba bado anahitaji kujinoa kwenye mambo ya interviews. Maana kama hujui jina la kinyago ulichochonga mwenyewe ni kazi kweli!