Wimbo wa Alikiba 'Mediocre' - Kweli kila zama na muda wake

Wimbo wa Alikiba 'Mediocre' - Kweli kila zama na muda wake

Daaaaaah Habarini Wana jamvi...?

Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na mda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.

Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.

Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba

So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.

Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.

Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
Kinachokutesa Ni ushabiki wa kipuuz Sana
Na ukiona mtu anatumia nguvu nyingi Sana kutaka kuaminisha watu kuwa kitu fulani Ni kibaya Basi jua huyo mtu Ni mchawi ,amejaa wivu alaf Ni masikin wa mawazo na Mali.

Alaf ajabu unaweza kuta huna hata hati ya nyumba moja hapa mjini au hata kumilik ist Ni shida lakin upo mbele mbele kumkandia mwanaume aliekuzid mafanikio kwa mbali Sana .

Pia huna hoja za maana Zaid umejaa uswahil swahil tu na roho ya kwanini ,maana Kama Ni matusi nadhan hakuna anayemzid diamond na ukitaka kujua Hilo ashafungiwa had na basata kwa kuimba matusi ,pia ashaimba dis truck na kwa watu wenye akil tulijua tu kamlenga Nan ,Sasa mbona hukukomaa Kama ulivyokomaa hapa?

Alaf unasema Ali kazeka ,ww ambaye Ni kijana mbichi una Nini haswa Zaid ya upambe mavi hapa town ,yaan ww Ni chawa .ushaur wangu punguza shobo za kukandia waliokuzid maisha Kama Ni mziki shanikia kiburudani na sio kukomaa na personal issues.

Alaf mediocre hata t.i kaimba na unajua ule wimbo una views wangap alaf ajab ukipigwa club na mbuz Kama ww unakenua Ila kwa vile kaimba kiba Basi kaishiwa ,.

Alaf aliyeishiwa Ni Yule Ana maskendo ya kucopy manyimbo na videos mbali mbali huko alaf akiwaletea mburura Kama ww mnashangilia na kumwona mbunifu ,punguza ushamba kijana mziki Ni biashara na mziki unahitaj attention.

Mwisho kabisa najua utakuja na povu nakukaribisha Sana kijana Ila jua ww Ni mshamba na hujui mziki kabisa Zaid uchawa umekutawala ,kwa tunaoujua mziki hatuwez kuwa na mawazo km hayo yako ya kindezi.

Diamond Ni mwanamzik mzur pia Alikiba Ni mwanamzik mzur kila mtu Ana vionjo vyake na watanzania tunataka Radha tofaut tofaut ya mziki ,ndio maana Kuna taarabu ,clank,hip hop ,raggae ,rnb,kaswida ,nk .naishia hapo
 
Sijui hujanielewa kwann nasema unatudanganya.
Umesema hii nyimbo alikiba alikuwa nayo kitambo tu lakn sio kweli Kama umesikiza XXL amesema ameitunga muda so mrefu, alaf hata ukisikiza wimbo Kuna mistar inazungumzia matukio ya hivi karibun Kama pruuuuh mpk chini, Mara commando nadhan umenielewa sasa
Hujajua vzuri bro. Kwa strategic za baias
Mbona Diamond akimtafuna zabibu kiba na akakaa kimya, so all in all alikiba kaimba utopolo
Acha kunifata fata wewe nilishasema sina cha kujadiliana na wewe
 
Kinachokutesa Ni ushabiki wa kipuuz Sana
Na ukiona mtu anatumia nguvu nyingi Sana kutaka kuaminisha watu kuwa kitu fulani Ni kibaya Basi jua huyo mtu Ni mchawi ,amejaa wivu alaf Ni masikin wa mawazo na Mali.

Alaf ajabu unaweza kuta huna hata hati ya nyumba moja hapa mjini au hata kumilik ist Ni shida lakin upo mbele mbele kumkandia mwanaume aliekuzid mafanikio kwa mbali Sana .

Pia huna hoja za maana Zaid umejaa uswahil swahil tu na roho ya kwanini ,maana Kama Ni matusi nadhan hakuna anayemzid diamond na ukitaka kujua Hilo ashafungiwa had na basata kwa kuimba matusi ,pia ashaimba dis truck na kwa watu wenye akil tulijua tu kamlenga Nan ,Sasa mbona hukukomaa Kama ulivyokomaa hapa?

Alaf unasema Ali kazeka ,ww ambaye Ni kijana mbichi una Nini haswa Zaid ya upambe mavi hapa town ,yaan ww Ni chawa .ushaur wangu punguza shobo za kukandia waliokuzid maisha Kama Ni mziki shanikia kiburudani na sio kukomaa na personal issues.

Alaf mediocre hata t.i kaimba na unajua ule wimbo una views wangap alaf ajab ukipigwa club na mbuz Kama ww unakenua Ila kwa vile kaimba kiba Basi kaishiwa ,.

Alaf aliyeishiwa Ni Yule Ana maskendo ya kucopy manyimbo na videos mbali mbali huko alaf akiwaletea mburura Kama ww mnashangilia na kumwona mbunifu ,punguza ushamba kijana mziki Ni biashara na mziki unahitaj attention.

Mwisho kabisa najua utakuja na povu nakukaribisha Sana kijana Ila jua ww Ni mshamba na hujui mziki kabisa Zaid uchawa umekutawala ,kwa tunaoujua mziki hatuwez kuwa na mawazo km hayo yako ya kindezi.

Diamond Ni mwanamzik mzur pia Alikiba Ni mwanamzik mzur kila mtu Ana vionjo vyake na watanzania tunataka Radha tofaut tofaut ya mziki ,ndio maana Kuna taarabu ,clank,hip hop ,raggae ,rnb,kaswida ,nk .naishia hapo
Uzi na ufungwe ...

Umemaliza kila kitu
 
No wonders wanawake ni wengi kuliko wanaume na huo uwingi unachangiwa na watoto wa kiume walioamua kuwa wanawake.
Umeishia sekunde ya 30 ila unajua kila kitu kilichomo.
Mediocre!!
 
Kwani Kuna mtu kamtaja yule kilema wa mdomo mbona mnawashwa washwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kati ya hao wawili Kuna mmoja mwenye mdomo mkubwa na mwingine huyu alietoa diss track ambae mdomo umepinda akiwa anaongea au kuimba,una maanisha kilema yupi😳?
 
Lakini nakumbuka kiba aligeuka kuwa Twitter finger mda wote yupo twitter kujibu mashambulizi ila mwenzie term hii kaamua kumpuuza...
Lazima apuuze King wa mafundo..atajibu nini ..Mungu sio mzee Mkumba fundo hadharani Dodoma
 
Alikiba katmia miaka 3 kujibu all the way up remix ya diamond.
Kajibu au kajiaibisha, anatuimbia utopolo nyimbo nzima wakati fresh remix ilikuwa maneno ma5 tu daaaaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787],jamaa nowdays anastress za mke kwenda Mombasa pamoja na dada take zabibu kiba kuachwa[emoji24][emoji24][emoji24].
 
Mondi haitaji Kiki kutoka kwa mtu aliye feli mziki.

Bila Diamond Kiba angepotea,kipindi anarudi kwenye game kila interview anamponda Mondi (Ref Sporah Show,Mkasi nk),Mondi alikaa kimya ila baada ya Kili na Fiesta Mondi ndipo akaanza kujibu mapigo.

Ila uzuri siku hizi hajibu Harmo kamchokonoa kamchunia apambane na hali yake,huyu nae hatojibiwa.
Fact wameshaona Diamond platinumz ndo Kiki kiba kazeeka miaka 45+ na kuimba wapi na wapi si akalee familia yake huko Mombasa.
 
Kumbe nimeelewa sasa "Asa wambie dada zao kariakoo waje ulaya"

Wao wakipost tembo si tuna post show [emoji23][emoji23]
Hamna kitu diss yenyewe kiba kaimba Kama taarabu daaaaaah kazeeka vibaya huyo jamaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kiba sio harmo,hata mond anajua hilo.

ndio maana hawezi kukalia kimya.
Lazima akae kimya maana, ataki kutoa Busta kiba akafie mbele anataka bifu mseleleko tunamkwepa

Diamond platinumz BABA LAO.

#HATUTOI KIKI WALA BUSTA KWA KIBA APAMBANE NA UZEE WAKE WA 45+[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Lazima apuuze King wa mafundo..atajibu nini ..Mungu sio mzee Mkumba fundo hadharani Dodoma
Fundo lina athari zipi ambazo ni hasi kwenye mziki wake🤔?
Huyo asietumia fundo ana kipi cha kujivunia,ili tumtofautishe na huyu mnaedai Ni King wa Mafundo🤔?
 
Huyo hajibiwi aliponda kuna watu waongeza zero watu wakakaa kimya,mara wananiibia viewers watu kimya hata huu wimbo utapita kama upepo,siku hizi hawa mjibu wanamwacha arukeruke wanajua atatulia.

Sasa hivi Mondi nguvu zake zipo kwenye label yake na Wasafi Media kuifanya iwe bora.
Fact kaka, Diamond platinumz sasa hivi ni CEO Wala sio jobless Kama huyo kiba ko akafie mbele no Busta no Kiki ,nyimbo yenyewe mbaya Kama bleach lake la kikongo.
 
Manyumbu mnapeana moyo..Fresh ya Fid q .
Domo aliifanyia remix akatoa shombo ingawa kurap hajui hadi Fid q akasema angejua lengo lake asingempa wimbo..sasa upepo umebadirika mara mzee mara ooh.SICHEZI NA DADA ZANGU NACHEZA NA DADAKO kafieni mbele
KAFIE MBELE KIMA MKUBWA WEWE EBOOOOH MBONA ZABIBU KIBA KLIIWA NA DIAMOND TUMEKAA KIMYA... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

PUNGUZA KUDANDIA SHOMBO NYUZI ZA WCB SAWA.

FRESH REMIX UNAJUA NDO HIT SONG YA FID Q TANGU AANZE MZIKI.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

NASEMA TENA USIRUDIE KUMPONDA DIAMOND MBUGIRA MKUBWA WEWE[emoji85][emoji85][emoji85]
 
mna kasumba za kipuuzi kwamba tusimjibu ili akose kick.bahati mbaya huwa hayawi kweli mnayotamani.
kiba ni msanii wa aina yake,asiyetegemea kick za kijinga.

mond anajua biashara inataka nini,sio wanazi mnataka nini,jipe muda utajisonya.
KATIKA WAJINGA NA SHABIKI MBUGIRA WEWE NO GRADE ONE[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

SASA KAMA HATAKI KIKI SI ANGEIMBA ZA KUELIMISHA KULIKO KUTOA DISS TRACK [emoji85][emoji85][emoji85]

DIMAOND NI C. E. O SO HANA HUO UPUMBAVU WAKUJIBIZANA NA JOBLESS KAMA KIBA THATS WHY ANAJUA BIASHARA.

#NO KIKI NO BUSTA KIBA AKAFIE MBELE SAWA DOGO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hadhira wa kweli ni yule anayeenda kwa mond kwenye show na kesho pia anaenda kwa kiba kama ana show.

kinyume na hapo yanakuwa ni mambo ya kitoto.
Hajuna anayeenda kwa diamond afu aende kwa Hilo likibamia lako.

Diamond fana are intelligent na sio MBUGIRA Kama wewe.

,#no Kiki no busta
 
Yeah Diamond The G O. A. T akae kimya maana anatafuta pa kupumulia/kutokea now maana nasikia Hana dili Tena siunaona hata label uchwara imekufa.
Washamba ni nyie mnaojadili nyimbo za hao jamaa wenye maisha yao na wanajuana.

Mmeshindwa kuelewa kwamba wenzenu wanafanya mziki kazi.

Ukute saizi wamekaa wanawacheka mnavyotokwa na povu watoto wa kiume.

Mkitoka hapa mnaenda kulalamika maisha magumu.

Hopeless kabisa kushindwa kung'amua mambo
 
mbona unamaliza maneno yote,weka akiba bana haya siku tatu bado hazijapita.
Akiba gani Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnatafuta huruma hili mjibiwe mtrend round hii no Kiki no Busta mkafi3 mbele EBOOOOH [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom