mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Kinachokutesa Ni ushabiki wa kipuuz SanaDaaaaaah Habarini Wana jamvi...?
Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na mda wake, leo ndio nimekubali huu msemo.
Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa na anatafuta back up ya kurudi kupitia Diamond the G.O.A.T.
Unajua, kutokana na hivi Karibuni harmonize kuvuma sana na kuanza kumshindanisha na Diamond the G.O.AT. watanzania walikuwa wamemsahau huyu mzee wetu Alikiba
So kwa huu wimbo Mediocre kweli Kama amemaanisha Basi kweli ni mediocre yenyewe.
Namuomba Diamond the G.O.A.T. akae kimya ili alone aibu mwenyewe maana Diamond alisema hatatoa tena KIKI ko nione tunavyo msahau kwa utopolo huu plus utumbo.
Namalizia kwa kusema ameshazeeka na asitaafu mziki,ameachiwa Diamond the G.O.A.T mwenye Bongo flavor yake.
Na ukiona mtu anatumia nguvu nyingi Sana kutaka kuaminisha watu kuwa kitu fulani Ni kibaya Basi jua huyo mtu Ni mchawi ,amejaa wivu alaf Ni masikin wa mawazo na Mali.
Alaf ajabu unaweza kuta huna hata hati ya nyumba moja hapa mjini au hata kumilik ist Ni shida lakin upo mbele mbele kumkandia mwanaume aliekuzid mafanikio kwa mbali Sana .
Pia huna hoja za maana Zaid umejaa uswahil swahil tu na roho ya kwanini ,maana Kama Ni matusi nadhan hakuna anayemzid diamond na ukitaka kujua Hilo ashafungiwa had na basata kwa kuimba matusi ,pia ashaimba dis truck na kwa watu wenye akil tulijua tu kamlenga Nan ,Sasa mbona hukukomaa Kama ulivyokomaa hapa?
Alaf unasema Ali kazeka ,ww ambaye Ni kijana mbichi una Nini haswa Zaid ya upambe mavi hapa town ,yaan ww Ni chawa .ushaur wangu punguza shobo za kukandia waliokuzid maisha Kama Ni mziki shanikia kiburudani na sio kukomaa na personal issues.
Alaf mediocre hata t.i kaimba na unajua ule wimbo una views wangap alaf ajab ukipigwa club na mbuz Kama ww unakenua Ila kwa vile kaimba kiba Basi kaishiwa ,.
Alaf aliyeishiwa Ni Yule Ana maskendo ya kucopy manyimbo na videos mbali mbali huko alaf akiwaletea mburura Kama ww mnashangilia na kumwona mbunifu ,punguza ushamba kijana mziki Ni biashara na mziki unahitaj attention.
Mwisho kabisa najua utakuja na povu nakukaribisha Sana kijana Ila jua ww Ni mshamba na hujui mziki kabisa Zaid uchawa umekutawala ,kwa tunaoujua mziki hatuwez kuwa na mawazo km hayo yako ya kindezi.
Diamond Ni mwanamzik mzur pia Alikiba Ni mwanamzik mzur kila mtu Ana vionjo vyake na watanzania tunataka Radha tofaut tofaut ya mziki ,ndio maana Kuna taarabu ,clank,hip hop ,raggae ,rnb,kaswida ,nk .naishia hapo