Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
-
- #121
Fact alikiba rest in peace kwenye muziki, amuachie tu Diamond platinumz mwenye Bongo flavor yake.Alikiba Rest well bana kwa sasa Bongo Fleva Ni Diamond Na Harmonize
Sawa tumekuelewa na imeonekana jinsi gani anaroho mbaya , so kwa maana hiyo ataendelea kubaki underground miaka yake yote kwa tungo nyepesi Kama hizo.Kuna nyimbo za aina nyingi
1.Biashara mara nyingi hizihazina ujumbe wa maana ni zinauzika sababu ya vibes zilizomo, hizi hupendwa zaidi clubs.
2.Burudani, hizi huburudisha, kuliwaza, kufariji, hizi huleta utulivu tu ndani ya mtu.
3. Ujumbe maalum mfano kampeni ya kitu fulani kubring awareness, matangazo ya bidhaa nk
Hapa pia zipo za ujumbe maalum kwa watu maalum zamani watu walikuwa wakitungiwa nyimbo ngomani kama akifanya tukio lililotrend hutungiwa kupewa makavu yake.
Wimbo huu wa mediocre umeangukia kundi la tatu, ni ujumbe maalum, hauna haja ya kutrend wala kuuzwa au kuvunja record zozote, lengo ni moja tu ujumbe uliokuwa ukimkaba mtunzi kwa miaka ufike kwa mlengwa, na kwa masaa haya sita natumaini mlengwa kapata ujumbe wake.
Hatuhitaji kuucheza clubs wala kuupakua utuburudishe maana hauburudishi wala.
King pole kwa kuumia miaka yote umetoa la rohoni.Haki yako ya msingi tunaiheshimu.
Fact na Diamond platinumz The G. O. A. T alishasema.alichofanya kiba ni kuweka aibu pembeni na kuamua kutafuta kiki kwa bwana almasi maana kashapima upepo kaona nafasi yake inachukulia na mmakonde
Fact kaka tusimcheke maana amezeeka na ubongo wake umechoka sana kutunga.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa post hii inaonesha wew bado U18,ngoja mim nisikilize wimbo wa kitambo wa Queen Darlin ft The King Kiba wew nikuache uendelee kupoteza muda.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] king au kimba mbona unamix maneno, ssema alikiba ni kimba wa dunia, sasjina la wimbo wenyewe ni mediocre (janjajanja/ujinga) unazania kinachoimba ni Nini...?
Jibu:kinaimbwa ujinga square [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23] mtu unajisifu kwenda marekani, sasa Diamond Nate asemeje jamani maana Kule ni Kama kwake.
#NO KIKI.
DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T wewe na familia pamoja na Ukoo wako nyote mnalijua hili na Dunia pia inalijua sawa dogo langu kasome[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]nawakaribisha sana[emoji23]
Tungo nyepesi kama hizo? Ngapi? Katoa nyingi leo kwani?Sawa tumekuelewa na imeonekana jinsi gani anaroho mbaya , so kwa maana hiyo ataendelea kubaki underground miaka yake yote kwa tungo nyepesi Kama hizo.
Siyo wakushindana huu,wala hajawatolea nyie, wala sio wa kiki, wala sio wa kuvunja records za views,kumbuka ni ujumbe maalum kwa mtu mediocre.Yaani kwenye ushindani Kama huu, unatutolea utopolo wa kiwango Cha PHD, HD na SGR...? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24].
#NO KIKI
[emoji1787] [emoji1787]Upo youtube huo mziki tumuongezee viewers?
Hawaoni miondoko alivyobadilika wao wanaangalia kamponda nan ilo ndio tatzo wameweka utim kizur kizur tu utim pemben kidogo
Kalale dogo wewe bado U16, Ngoja nikasikilize nyimbo ya diamond platinumz akiwa na zabibu kiba chumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa post hii inaonesha wew bado U18,ngoja mim nisikilize wimbo wa kitambo wa Queen Darlin ft The King Kiba wew nikuache uendelee kupoteza muda.
Fact amesha flop yule, astaafu tu mziki.Huyu kiba wanao mpoteza ni mashabik zake..wanamuita king,anarelax akijihis ni king kwel kumbe king jina tu...Aangalie mwenzie saiz yupo wapi...hawez fanya mambo Simba amefanya...
Mchaneni ukweli ndio atabadlika...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hatuongelei ujumbe, ila wanasemaga anaimba za kueleimisha ndo tunacho taka angeimba sawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Tungo nyepesi kama hizo? Ngapi? Katoa nyingi leo kwani?
Siyo wakushindana huu,wala hajawatolea nyie, wala sio wa kiki, wala sio wa kubunja records za views,kumbuka ni ujumbe maalum kwa mtu mediocre.
Fact, ila now kibamia ni utopolo fc[emoji85][emoji85][emoji85]Moja kati ya tungo bora za Kiba
"Kama mapenzi ghorofa yamejaa"
Vs The Goat(Diamond)
"Nimeokota dodo na mjani wake litayemkera ni Shauri zake"
FactHakuna wimbo hapa.
Achana na huyo mtoto changia maada sawa.
Sasa icho ni Cha ajabu, maana watu wameenda kisa UJINGA ameoimba ila hakuna kitu mule believe me.Now ipo namba 8 on trending
Ninammiliki sawaMimi nimeona picha ya maana kuliko post!