Sasa icho ni Cha ajabu, maana watu wameenda kisa UJINGA ameoimba ila hakuna kitu mule believe me.
Ninammiliki sawa
Utafungwa sawa amekula mapene yangu.Wewe unamiliki mtu, mimi nimesifia picha, kila mtu na chakwake
NASEMA TENA, IWE MWANZO NA MWISHO KUMUHUSISHA THE TANZNAIAN ICON DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T NA HUO UTOPOLO WENU AU MSANII YEYOTE TANZNAIA HII SAWA.Baada ya Alikiba kuachia ngoma bora ya mwaka huu na mwaka kesho. Ngoma ambayo imekua gumzo Mpaka Sasa kwa kuweza kutikisa Mitandao ya kijamii na vituo vya Redio
Wimbo huo Mashabiki wengi wa Muziki hasa wanao Mshabikia Diamond wameonesha Hasira zao Kwan wanasema wimbo huo alikiba kamuimba Diamond na kumuita muuza siso na kwamba alikiba hachezi na Dada zake Bali ANACHEZA na Dada zao
Mpaka Sasa Diamond hajaongea kitu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Fact amesha zeeka unatania 45+ [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiba kazingua, ingekua achague ipi itoke kati ya macmuga na hii mpya basi bora ingekua Macmuga
Umeitwa masikini... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana umepaniki, na hii ndo tatizo la mashabiki mbugira sawa dogo.
Ww tena...team konde , team kiba [emoji3]Ngoja nikausikilize. Nimuongezee traffic King Kiba.
Ataingia trending sio kwa ukal wa ngoma bali kwa mashabik wake tu...lakin hatoweka record yyte...Ngoma ya maua sama kali kuliko hii ya kibakuliJapo kaimba vijembe...ila ngoma kali kabadilika sana humu Ali ila sijaelewa nini kilimsukuma kuimba yale au majamaa wamemchokoza tena?
#Ntabiri ngoma itashika namba moko on trending kwa sababu kali
Diamond alisha wapuuza, endeleeni na utoto kutafuta kujulikana kwa kutumia mgongo wa mtu kumepitwa na wakati. Hata hivyo anamaadui kila kona wote wakijaribu bahati zao za kumshusha na wameshindwa kwa uwezo wa Mungu anaepanga ridhiki. Wafanye kazi waache utoto.
==NIMEMALIZA==
NASEMA TENA, IWE MWANZO NA MWISHO KUMUHUSISHA THE TANZNAIAN ICON DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T NA HUO UTOPOLO WENU AU MSANII YEYOTE TANZNAIA HII SAWA.
LIMEONA KIMEISHIWA LINAWAZA BUSTA TUU.
#NO KIKI
Kuimbwa kaimbwa Diamond ila kuumia ataumia Harmonize,manake hawa jamaa kama parasite bila Diamond basi mziki wao hausogei.
Kiba kaamua kuchangamka maana dogo Harmonize nae katoa kushoto kulia,hujanikomoa,hainishtui zote hazijajibiwa ila akafanikiwa kupata kiki,brother Kiba kaona dogo anataka kuchukua nafasi yake ya kulinganishwa na Diamond nae katoa dongo.
Nahisi huyu nae hatojibiwa na Mondi inapita kimya kimya.
Goat yule alie mfunga kamba alikiba kwenye videoNASEMA TENA, IWE MWANZO NA MWISHO KUMUHUSISHA THE TANZNAIAN ICON DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T NA HUO UTOPOLO WENU AU MSANII YEYOTE TANZNAIA HII SAWA.
LIMEONA KIMEISHIWA LINAWAZA BUSTA TUU.
#NO KIKI
Huyu aachane na muziki ulishamshinda
Unauhakika gani kama kamuimbia mondiBaada ya Alikiba kuachia ngoma bora ya mwaka huu na mwaka kesho. Ngoma ambayo imekua gumzo Mpaka Sasa kwa kuweza kutikisa Mitandao ya kijamii na vituo vya Redio
Wimbo huo Mashabiki wengi wa Muziki hasa wanao Mshabikia Diamond wameonesha Hasira zao Kwan wanasema wimbo huo alikiba kamuimba Diamond na kumuita muuza siso na kwamba alikiba hachezi na Dada zake Bali ANACHEZA na Dada zao
Mpaka Sasa Diamond hajaongea kitu
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app