Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Yaan naandika nafuta, naandika nafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalale dogo usikurupuke nyuziGentle una comment za kidada kabisaa .
Akili huna wewe wapi kasema kaimba kwa ajili ya diamond
Kwani ikiwa ni tatizo, lazima tuseme ukweli ngoma mbaya sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitu kibaya shabiki wa wcb anaogopa kusikiliza mziki kwa sababu ya chuki anaogopa ataongeza viewers kisa wivuuu .....yani ngoma mbaya na inaenda kuwa trending sahiviii
Anawachora tu
Fact kaka , ameishiwa huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ataingia trending sio kwa ukal wa ngoma bali kwa mashabik wake tu...lakin hatoweka record yyte...Ngoma ya maua sama kali kuliko hii ya kibakuli
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Diamond platinumz ni The G. O. A. T maana alishatoka huko kwenye uking.boss wenu huwa hataki shobo za kusemewa,subiri uone boko atakapoamka nalo.hapendagi kuchafuliwa[emoji23][emoji23]
Kama certifier wa nyimbo nzuri(Tanzanaia, Afrika na Duniani kwa ujumla)wewe unasema kama nani hapo WCB juma lokole au alistotee??!!
Utajutia Mb zako bure.Ngoja niutafute niusikie maana naona sifa nyiingiii
Hivi nyie watu mbona kama hamjielewi ni wapi kiba kasema kamuimbia mtuHivi Alikiba alianza lini hii tabia ya vijembe Mondi alishaachana nayo ye ndo anafuata nyayo[emoji23][emoji23]
😀😀mmhhh una hasira sana aisee.
tatizo ni huo utopolo au kuna lingine?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji24][emoji24][emoji24]kweli wewe NI mbugira yaani Tena kiwango Cha PHD, HD na SGR.mond kwa sasa kapoa,lazima aitumie hiyo kama ngazi.
nyinyi mashabiki hamuelewi kitu.
Sio wewe yaani dunia nzima imeshangaa na wakati alikuwa mbele sanaNmeshangaa et ally kiba kazidiwa followers na konde boy!!??
Hiyo iko wazi maana anahitaji bustaUnauhakika gani kama kamuimbia mondi
Sent from my ɪᴩʜᴏɴᴇ 11ᴩʀᴏ using JamiiForums.com mobile app
Kaflop Atari tumuombee arudi jamani kiba wetu[emoji24][emoji24][emoji24]Yaan naandika nafuta, naandika nafuta
Kaishiwa jamaa kinomaAshafika Marekani na Ulaya. Haya ni type ya majigambo ya Le Mutuz. Nae sijui yuko wapi siku hizi.
Mimi hapana siko kuzungumzia wimbo maana sijapata muda wa kuusikiliza, japo kuna mtu uwa naamini sikio lake kasema mzuri nikipata muda nitausikiliza.Tatizo sio kuimba tatizo kaishiwa yaani kakosa vya kuimba, si wanasemaga anaelimisha jamii ko kakosa kuzungumzia hata Mambo ya uchaguzi duuuuuuh tumuombee but hatutoi Kiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]