Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ya mtanzania anaweza asijue mchana atakula nini ila budget za wenzie anazijua a to zMwisha wasiu views za kibongoni utopolo tu.
Kwanza wa promo alilofanya hata kufikisha hizo views bado probably ni failure.
Umetumia masaa kibao kwenye TV uko LIVE kuanzia mapokezi ya Koffi Airport, kurekodi wimbo, kushuti video ( both traditional and social media ).
Gharama ya hiyo promo probably ni zaid ya 10M kama ukiweka gharama.
Boss, kwanini umedeal sana kwenye Youtube wakati kuna platform nyingi sana ambazo zinatumika kujua wimbo namba moja kidunia?Mkuu na wewe umeamini hili? Ngoja nikupe mfano, video ya dynamite ilipata 101 milion views ndani ya saa 24 toka iwe uploaded, How you like that ilipata views 86.4 in milion ndani ya 24 hours ndani ya saaa 24, Icecream views 79 milion
Na ndani ya saa ishirini na nne hizi, video iliyotazamwa sana inaitwa Titlian imetazamwa mara 8.1 milion ndani ya saa 24 hizi, kifuatiwa na bichota mara 6.4 milion.
Hivyo wah ambayo imechukua wiki kufikisha views milion 10 haiwezi kuwa ya kwanza worldwide, labda kama ni Afrika au East Afrika
Yes, lazima sasa wewe kama unatangaza target yako ni nini kama siyo kuwajulisha watu.shida ya mtanzania anaweza asijue mchana atakula nini ila budget za wenzie anazijua a to z
hata ikiwa hivyo bado hauwezi kuwa number 1 duniani, mitandao mokubwa ya kustream miziki ni spotify, tidal, itunes, google play, amazon.Boss, kwanini umedeal sana kwenye Youtube wakati kuna platform nyingi sana ambazo zinatumika kujua wimbo namba moja kidunia?
kwa uelewa wangu huwa hawaangalii tu youtube wameifuatilia watazamaji wangapi? ila huwa wanaangalia kwa ujumla platform zote
Mambo mengine si kushushana chini ni kuset facts straight tu maana otherwise itakuwa kichekesho mbele ya watu kuwa watu wanadanganywa. Haiwezekani wimbo huko kwa wenzetu juzi mpaka jana uwe na views milion 8 ndani ya saa 24, halafu Waah imepata views milion 10 ndani ya wiki iwe ya kwanza.Tanzania hata ufanikiwe vp watu watakuvuta chini walazimishe ufanane wa failure zao, na kuwalazimisha waamini mafanikio yako ni kujiumiza tuu maana hawatakaa wakubali, watakuja na sababu za kwa nini wewe ulichofanya sio lolote wakati wao hata 1% ya hicho hawawezi.
Mziki ni maliwazoYaani watu hawajui kesho wanakula nini wasikilize ikibindankoi
Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa. Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu anaiulizia Tanzania sasa hivi, hata search rating za Tanzania zimepanda sana kwa sasa.
Video clips zina maelezo zaidi:
Mbona tunawatumia kwenye kampeni we uoni Kama ni kipaumbeleBongo yetu wasanii hatuwapi kipaumbele na chakushangaza bunge Lina wasanii.
Kuna watu huko viwers milioni 100 in one dayMkuu na wewe umeamini hili? Ngoja nikupe mfano, video ya dynamite ilipata 101 milion views ndani ya saa 24 toka iwe uploaded, How you like that ilipata views 86.4 in milion ndani ya 24 hours ndani ya saaa 24, Icecream views 79 milion
Na ndani ya saa ishirini na nne hizi, video iliyotazamwa sana inaitwa Titlian imetazamwa mara 8.1 milion ndani ya saa 24 hizi, kifuatiwa na bichota mara 6.4 milion.
Hivyo wah ambayo imechukua wiki kufikisha views milion 10 haiwezi kuwa ya kwanza worldwide, labda kama ni Afrika au East Afrika
Hiyo SIRI haiangalii tu views za youtube kujua nyumbo namba moja, bali inaangalia cummulative engagement ya watu katika platforms zote kama na hasahasa instagram jinsi watu wanavyo repost, kucomment na kufanya challenges mbalimbali za huo wimbo (engagement ndio hasa huketa pesa kwenye marketing); jinsi jina linavyokuwa searched kwenye search engines hasa google, jinsi inavyonunuliwa /kusikilizwa kwenye platforms kama audio mack, amazon, boomplay na nyinginenezo..., statistical dimensions zipo nyingi sana, hata hapa tunapojadili ni kwamba tumekiwa engaged na huo wimbo, Siri inaangali hivi vyote na kujua ipo ndio namba moja kwa wakati husika. Ondoa chuki na legeza ubongo.Mkuu na wewe umeamini hili? Ngoja nikupe mfano, video ya dynamite ilipata 101 milion views ndani ya saa 24 toka iwe uploaded, How you like that ilipata views 86.4 in milion ndani ya 24 hours ndani ya saaa 24, Icecream views 79 milion
Na ndani ya saa ishirini na nne hizi, video iliyotazamwa sana inaitwa Titlian imetazamwa mara 8.1 milion ndani ya saa 24 hizi, kifuatiwa na bichota mara 6.4 milion.
Hivyo wah ambayo imechukua wiki kufikisha views milion 10 haiwezi kuwa ya kwanza worldwide, labda kama ni Afrika au East Afrika
Platform ya billboard inashika namba ngapi?Boss, kwanini umedeal sana kwenye Youtube wakati kuna platform nyingi sana ambazo zinatumika kujua wimbo namba moja kidunia?
kwa uelewa wangu huwa hawaangalii tu youtube wameifuatilia watazamaji wangapi? ila huwa wanaangalia kwa ujumla platform zote
Kweli kabisahata ikiwa hivyo bado hauwezi kuwa number 1 duniani, mitandao mokubwa ya kustream miziki ni spotify, tidal, itunes, google play, amazon.
kumbuka huko kwingine unalipia youtube ni bure. Mziki wetu na afrika in general haujaweza kufika level hizo bado. Wasanii wa afrika wanavunjiana rekod za kiafrika afrika tu si worldwide
Na wao wanalijua hili ndiyo maana mara zote mapambano yao uwa ni youtube, uwa hawaongelei platforms nyingine maana huko downloads na streams uwa si nyingi kama views za youtube
😅😅😅, hii ni sawa na kuuliza nyimbo iliyoshika namba moja billboard imeshika namba ngapi kwenye Clouds top 20 ambapo wasikilizaji ndio hupiga simu na kupiga kura ipi ishike namba moja, nani ataipigia kura Waah? Angalia jibu langu la post namba 36 kwa ufafanuzi zaidiPlatform ya billboard inashika namba ngapi?