Wimbo wa Iddi Amin Dada

Wimbo wa Iddi Amin Dada

hahahhaha, nyimbo ya wakati fulani raha sana,
"jembe ni jembe
'ni jembe mama Tanzania'
 
jamani mwenye hiyo audio ashee hapa na sisi dot com tuujue tufanyie na remix
 
Iddi amin akifa,
Mimi siwez kulia,
Nitamtupa kagera,
Awe Chakula,
Cha mamba.

Kama unakumbuka hii nyimbo
Naomba uendeleze
Nyimbo =Wimbo:

Ukiwa mmoja ni WIMBO. Zaidi ya mmoja ni NYIMBO. Tafadhali tusiharibu Kiswahili. Naona huu mtindo umeshaenea sana sasa. Badala ya kusema wimbo huu, wanasema nyimbo hii. Hii si sawa. Wimbo ni umoja na nyimbo ni uwingi.
 
Nyimbo =Wimbo:

Ukiwa mmoja ni WIMBO. Zaidi ya mmoja ni NYIMBO. Tafadhali tusiharibu Kiswahili. Naona huu mtindo umeshaenea sana sasa. Badala ya kusema wimbo huu, wanasema nyimbo hii. Hii si sawa. Wimbo ni umoja na nyimbo ni uwingi.
Ahsante kwa kumrekebisha ila na wewe angalia vizuri kiswahili chako. Hapo neno "uwingi" ilipaswa iwe "wingi"
 
Mi naomba niulize
Hili jina Iddi Amini Dada
Hili jina Dada ni lake la kweli au alipachikwa
 
Iddi amin mshenzi , palapala
Tena mshenzi kabisa, palapala
Kateketeza umati, palapala
Na kuchoma makanisa, palapala

Mama kilio mama, kilio
Mama kilio kilio kilio........
 
Back
Top Bottom