Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
sio vibaya kuweka vionjo vya Nyimbo Za Makabila Au Mtaan Kwenye Nyimbo nyimbo kama kinyulinyuli, sandakarawe, kasimama peke yake kamuona , zimeimbwa mtani utotoni lakini sasa tunazisikia kwenye nyimbo za watu afadhali mimi poor thinker kuliko kujifanya GREAT LAKINI SIO THINKER sisi ndo tulimchora zombie eeeeeh bas yule tuliemchora ndo wewe coz unawaza kizombi zombi tu
Kwa hiyo unamaanisha huyu jamaa ni zombi?