Wimbo wa King Kaka wa Wajinga nyinyi!!! (Kenya)

Wimbo wa King Kaka wa Wajinga nyinyi!!! (Kenya)

Mimi sisemi kuhusu DCI, ninazungumzia kuhusu vitisho anavyopata toka kwa watu na viongozi serikalini, kama ilivyo kwa Alfred Mutua kutishiwa na DP- Rutto, huo ndio Uhuru gani?, mtu akisema kitu maisha yake yanakua hatarini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tuelezee Uhuru wenu wakati Chadema wanazuiliwa kugombea kwenye uchaguzi?
 
Umeamua kuungalia upande mmoja ukipuuza mwingine View attachment 1295033DCI Kenya wamesema they never summoned Mr Rabbit!
The DCI has strongly refuted the allegations.

The facts! These basic freedoms were fought for and we have achieved an incomparable amount of freedom—when compared to the vast majority of countries on the continent.

This means that these institutions understand that the people will not sit back and allow them to go after this artist for expressing himself and his truth.

Now try to write a song about Makufuli or CCM.
 
Kama ni cha kufungwa au kuuliwa kuna hii nyimbo hapa inaitwa sheria by Sarabi band ft Juliani, Hii nyimbo ilikua nominated kwa Global activism Award! AKA Honesty Oscars - Best Activist Anthem




Kwenye hio nyimbo, wanamuonyesha Rais Mstaafu Mwai Kibaki huku nyimbo ikisema "Una mipango na hata watoto wa kando, haujui ata majina yao"

alafu hapo 05:43 kwa hio nyimbo, Wanaonyesha makamu wa Rais William Ruto akilia kanisani alafu kwa nyimbo inasema, "Machozi ya perpetrator inaeza dilute damu ya Victim iliomwagiga?"



Hao Sarabi Band wamekua wakiimba nyimbo za activism tokea kitambo, hii hapa nyengine






Hizo nyimbo ukiskiza vizuri basically zina ambia waananchi kubadilisha mambo wenyewe kwa njia moja au nyengine ... Ingekua ziliimbwa ndani ya nchi nyengine hawa jamaa wangefungwa kwa tuhuma za kujaribu kuchochea wananchi wapindue serekali.
 
Acha kuoneshaa kama mko salama
Huyo king kaka alikamatwa na wakamburuza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Kushindana na mtu illiterate unajipa kazi
Fanya research vizuri kabla ya kuleta ushindani wako wa kipuzi...
King kaka aliburuzwa wapi
Au unazungumzia wimbo wake alioutoa miaka ya nyuma unaitwa thug love
Tumia akili mzee
 
Wajinga nyinyi....

Mwanamuziki King Kaka makao makuu ofisi ya mwendesha mashitaka ya jinai (DCI).


 
Kwaiyo unategemea pasikuwepo hata kukerwa kwa waliyozumgumziwa kwenye wimbo.mbna hata marekani rais trump analalamika kwa Twitter.
Kuhusu kuandamwa kwake. Usilinganishe Kenya na tz katika masuala ya uhuru ya kuongea.hiyo stage kenya ilipitia kipindi cha utawala wa chama cha kanu. Kwaiyo na tz itapita tu .
Mbona unatoka nje ya mada?, tunachuzungumzia ni vitisho anavyopata King Kaka baada ya kutuo huo wimbo wake, huo Uhuru wa kujiekeza upo wapi ikiwa watu wanaozungumza ukweli wanatishiwa maisha na wengine kufurushwa nchini kwa nguvu kama Miguna Miguna?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom