Wimbo wa Matonya “bado ni kiza” ufanyiwe remix wakati wake muhimu ni sasa

Wimbo wa Matonya “bado ni kiza” ufanyiwe remix wakati wake muhimu ni sasa

M.Rutabo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2015
Posts
1,031
Reaction score
2,647
Hii nyimbo kwa wanao ifahamu ilikuwa nyimbo ya maana sana. Anasema Bado ni kiza na marashi ya dunia hayasikii anajihisi yupo kuzimu anaishangaa sayali hii, iliyojawa wanasiasa, Vicheche na wasanii. Kuna jumbe nyingi sana na ata mwalimu Nyerere huko aliko lazima yupo anashangaa sana kuhusu hii nchi yake.
 
Back
Top Bottom