Wimbo wa Msanii Darasa "I don't care (it's holiday)

Wimbo wa Msanii Darasa "I don't care (it's holiday)

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia,nadhani hakua serious na hii ngoma,
angetuliza kichwa hii ngoma inebamba zaidi ya hapa sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu.

Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye mpangilio mzuri.

Ushauri tu.
 
Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia, nadhani hakua serious na hii ngoma

Angetuliza kichwa hii ngoma ingebamba zaidi ya sana sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu.

Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye mpangilio mzuri.

Ushauri tu.
 
Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia,nadhani hakua serious na hii ngoma,
angetuliza kichwa hii ngoma inebamba zaidi ya hapa sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu.

Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye mpangilio mzuri.

Ushauri tu.

“Mchawi anga hizi ha fly”
 
Nyimbo yake ya Nobody ina Chorus kali,ila verse kazingua huku kwenye video ndio kaharibu kabisa,yaani video ya hovyo.
Jamaa ana bahati sana ya kutengenezewa chorus zinazoshika but uimbaji sijui tuite uchanaji wake ni wa darasa la nne C 1990 enzi za kina Saleh Jabiri," nikivaa miwani madem wananitaka napinduka tiktaka,ruka kama kama ninja tua kama ndege eapoti....ducha....ducha....ducha...duchaaa!!!
 
Back
Top Bottom