Habari wana JF.
Nakaa natafakari tuzo 7 alizopata Diamond, ukweli ni kwamba My Number One imempa Diamond mafanikio sana ameweza pata tuzo hizo kwa sababu ya ya huo wimbo, pia ameweza kuvuka boda na kupata baadhi ya collabo na wasanii wakubwa Afrika kwa sababu ya nyimbo hiyo.
Je Diana anajisikia vipi kuona mafanikio hayo kupitia wimbo ambao anadai ni wimbo wake?, Diana mwenyewe aliwahi kuhojiwa na Saida Mwilima akasema nililia sana sikutoka nje kwa wiki kazaa naomba mniache.
Je Diamond nae anajisikia vizuri kuona dhuluma hiyo aliyofanya?.
Nakaa natafakari tuzo 7 alizopata Diamond, ukweli ni kwamba My Number One imempa Diamond mafanikio sana ameweza pata tuzo hizo kwa sababu ya ya huo wimbo, pia ameweza kuvuka boda na kupata baadhi ya collabo na wasanii wakubwa Afrika kwa sababu ya nyimbo hiyo.
Je Diana anajisikia vipi kuona mafanikio hayo kupitia wimbo ambao anadai ni wimbo wake?, Diana mwenyewe aliwahi kuhojiwa na Saida Mwilima akasema nililia sana sikutoka nje kwa wiki kazaa naomba mniache.
Je Diamond nae anajisikia vizuri kuona dhuluma hiyo aliyofanya?.