Tetesi: Wimbo wa ndege yetu ile pale ilikuwa fedheha na aibu kwa taifa

Tetesi: Wimbo wa ndege yetu ile pale ilikuwa fedheha na aibu kwa taifa

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Jamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa

eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?

natafakari kwa aibu!!!
 
ndeeeeeeegeeee yetuuuuuuu ile paleeeeeee yani Rwanda Kenya Ethiopia wakiangalia ile video jamaa zangu wanasema wanacheka mpk wanazimia jamaa yangu yupo kisumu haamini kabisa kwamba tuliimba ndeeeeeegeeee yetuuuuuu ile paleeeeee ndeeeeeegeeeee yetuuuuu

Nairobi imegeuka comedi wakiona hata mbayu wayu wanaimba ndeeeeegeeee yetuuuuuu kutukebehi

dah ngoja nimalizie kwa hiki kionjo ndeeeeeeeegeeeee yetuuuuu
 
Angalia nyuso zao wengi hawana furaha kabisa ila wafanyeje aliyewateua kawapa Mualiko unategemea wagome..Katiba mpya tu ndiyo inaweza kukata mzizi huu wa fitina
 
Acheni roho mbaya nyie Kama hamjafurahi sisi tumefurahi na hatuko maelfu kwa TAARIFA yenu tuko zaidi ya mamillion tulioungana na Rais kwa hili la kufufua ATCL.Nyie ushamba unawazuzua kwani msipozipanda nyie SI watakuja kupanda hata wanenu wakipataga hela
hujaelewa lengo la huu uzi

shida ni kuiimbia ndege wakati haya mambo yalishafanyika zamani Sana eti ndeeeeegeeeee yetuuuuu ile paleeee tunaiona khaaaaaaa yani nacheka mpaka nalia
 
Jamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa

eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?

natafakari kwa aibu!!!
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16]em ntumie hio clip au hta link mkuu
 
Jamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa

eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?

natafakari kwa aibu!!!
Kama ni kweli aliimba huo utakuwa ni ushamba uliovuka malengo
 
Back
Top Bottom