Tetesi: Wimbo wa ndege yetu ile pale ilikuwa fedheha na aibu kwa taifa

Tetesi: Wimbo wa ndege yetu ile pale ilikuwa fedheha na aibu kwa taifa

Tumeshasema, mabeberu mtajamba damu safari hii, tupo vizuri, tunasonga mbele, na hiyo inayokuja tutakata tena viuno kama kawaida...
 
Acha watu wafurahi, wewe ulitaka walie na kuomboleza?
PAMBANA NA HALI YAKO kijana.
Sijui umeiona logic kwenye bandiko hilo? Hebu rudia kusoma ndio ucomment na punguza mkurupuko! Au siku hizi chakubanga anahesabu idadi ya comment ndio akulipe? Mlipotezwa kwa kuimba nyimbo za chekechea!
 
Jamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa

eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?

natafakari kwa aibu!!!
Kama ni kweli(mi sijafuatilia) basi Mungu akiibaruki nchi hii kuwa kama Misri serikali nzima watakuwa kama wazee wa ngwasuma,maana kupokea midege 200 kwa staili ya kukata mauno na kughani,si mchezo.Mwisho chako ni chako,usikionee haya Acha wacheze mradi hawavunji sheria wala kuumiza mtu kwa kitendo hicho
 
Tatizo LA watanzania ni kulazimisha watu wafikiri kama wewe, aliyecheza hajalalamika we we walilia nini?
 
Jibu hoja " kwamba ni Aibu au sio Aibu ... ?
Hakuna aibu, acha watu wafanye wanavyotaka.
Yaani mimi nasherehekea kununua gari halafu mpumbavu mmoja anasema ni aibu kisa nimeimba na kucheza?
Msitake watu wafanye kama mnavyotaka, aibu peleka kwako na kwa mkeo.
 
Back
Top Bottom