hujaelewa lengo la huu uziAcheni roho mbaya nyie Kama hamjafurahi sisi tumefurahi na hatuko maelfu kwa TAARIFA yenu tuko zaidi ya mamillion tulioungana na Rais kwa hili la kufufua ATCL.Nyie ushamba unawazuzua kwani msipozipanda nyie SI watakuja kupanda hata wanenu wakipataga hela
πππmimi sijausikia huo wimbo kwanza sikifatilia ππhebu uwek hapa wengn usingz umekata πhujaelewa lengo la huu uzi
shida ni kuiimbia ndege wakati haya mambo yalishafanyika zamani Sana eti ndeeeeegeeeee yetuuuuu ile paleeee tunaiona khaaaaaaa yani nacheka mpaka nalia
ππππππππππππππππππππTuwekeeni video nasi tuwaone hao kima jamani
nimecheka jamnππππππππππππππππππππ
ππππIPO viral mitandaoni wanaoweza wataiweka yani ni aibu
πππImekuwa utadhani ndiyo mara ya kwanza nchi kuwa na ndege!Total shame!Ptuuu...!
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16]em ntumie hio clip au hta link mkuuJamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa
eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?
natafakari kwa aibu!!!
Kama ni kweli aliimba huo utakuwa ni ushamba uliovuka malengoJamani niseme ukweli siku ile ndege ya airbus ilivyotua jkna huku serikali nzima ikikata viuno eti kuimbia ndege lilikuwa ni jambo la fedheha na aibu kubwa mno kwa taifa
eti wanaimba ndege yetuuuu ile paleeee ndege yetuuu tunaiona ile paleeeee ndeeegeee yetuuuu ile pale jamani naangalia Hii video mpk naona aibu kuitazama baada ya hapo viongozi wakaingia ndani eti kuishangaa ndege uwiiiiiiiiiiiiiiiii awamu ina vituko hii yani serikali nzima inacheza ngoma kisa ndege hakika tumerudi nyuma mnooooo hivi na Nyerere aliyeacha 14 boengs nayeye aliyafanya haya?
natafakari kwa aibu!!!
Iko WAP. Iyo video alafu kama yao wapande bure sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ngojeni video itawekwa hapa mjionee wenyewe
Tuwekeeni video nasi tuwaone hao kima jamani